zubery360
Senior Member
- Apr 11, 2014
- 157
- 61
Muda unazidi kuyoyoma na majibu hayapatikani. Ukiingia TCU wamekuandikia Provisionally Selected, ukiingia kwenye webs zao bado hakuna kilichowekwa. Sasa mimi niliomba physically MUM na nikapata kwenye First Selection pia wakati huo vyuo nilivyoomba TCU havijatoa majina mpaka sasa... Sipendiiiiii