Hivi VPN inaweza kuongeza speed ya internet?

Wiwachu

JF-Expert Member
Nov 13, 2018
809
923
Wakuu samahan hivi vpn inaweza kuboost speed ya internet maana huku tz net za mitandao mingi ziko slow kama mnavojua maana nyie sio wageni wa nchi hii, najua watu wengi wanatumia vpn kwa ajili ya kupata ku access net hasa baada ya tcra kufanya yao na wengine kwa ajili ya usalama yaani kuficha utambulisho wao na mahali walipo ila mi nauliza kama inaweza pia kusaidia kuongeza speed ya net hapa tz

Nimeuliza hivi kwa sababu hata leo hii kuna baadhi ya mitandao ya kijamii kama jf nikiingia bila vpn huwa inaload sana kwa mda mrefu bila mafanikio ila nikiconnect na vpn naona inafunguka haraka japo tcra walisha Fungua net

kuna baadhi ya vifurushi vya mitandao ya simu kama royal ya halotel ni vizuri vya unlimited data kwa mwezi na kwa hera kidogo tu ila vina speed ndogo sana sasa nikitaka kuvinunua na baadae niwe natumia vpn kwa ajili ya kuboost speed yake sjui mnasemaje wadau tudaidiane

Kama ipo ina itwaje naomba picha na jina lake hata link yake pia natanguliza shukrani za dhati karibuni kwa michango yenu
 
Naweza kusema ndio inaongeza. Kawaida Internet yangu huwa inapanda 1-2M/s ila kila nikitumia vpn hasa mda wa kudownload kitu nashangaa speed inaongezeka mda mwingine hadi 13.6M/s
Wiwachu
 
Naweza kusema ndio inaongeza. Kawaida Internet yangu huwa inapanda 1-2M/s ila kila nikitumia vpn hasa mda wa kudownload kitu nashangaa speed inaongezeka mda mwingine hadi 8M/s
Wiwachu
Sijui nini kinatokea katika case yako.

Ila, kwa kawaida, VPN karibu mara zote huwa inapunguza speed ya internet, japo kidogo tu. Hususan mwanzo wa connection. Baadaye hii slowness inakuwa barely noticeable.Lakini in principle, connection ya VPN haitakiwi kuwa faster kuliko connection bila VPN.

Kwa sababu unaongeza encryption na decryption katika internet traffic na hizi processes zina overhead inayoathiri connection speed.

Kwa zaidi, soma hapa.

 
Asanteni wote kwa michango yenu nakaribisha na wengine pia
 
Hapo explanation moja ni kama ISP wako huwa ana slow connection yako makusudi based on traffic data.

Na VPN yako inaficha traffic data kwa encryption, hivyo ISP anashindwa ku slow down connection based on traffic data kama unatumia VPN.
hapo kwenye kuslow internet based on traffic data sidhan kama n sahh. kwa sababu kama yy ISP atashindwa kuslow down internet yangu sababu ya VPN lets say inasoma niko USA, je huyu ISP anawezaje kuprovide internet service kwa mm ambae npo USA at that time?

anawezaje kunipa internet service afu ashindwe kuslow down internet kisa nasomeka npo USA?
 
hapo kwenye kuslow internet based on traffic data sidhan kama n sahh. kwa sababu kama yy ISP atashindwa kuslow down internet yangu sababu ya VPN lets say inasoma niko USA, je huyu ISP anawezaje kuprovide internet service kwa mm ambae npo USA at that time?

anawezaje kunipa internet service afu ashindwe kuslow down internet kisa nasomeka npo USA?
Angalia mfano huu mdogo.

Key hapa ni "ku slow down internet based on traffic data".

Tuseme kwa mfano, serikali imeamrisha ISP, imewaambia ISP kwamba, kwa mtu yeyote anayeingia katika mtandao wa Youtube na kuangalia video hii, punguzeni speed ya internet yake kwa 90%.

Ukiingia Youtube na kuangalia video hiyo, bila kutumia VPN, ISP anaona umeingia Youtube na kuangalia video hiyo, anapunguza speed yako kwa 90%.

Ukiconnect kwenye VPN kwanza, kisha ukaingia Youtube na kuangalia video hiyo, ISP haoni traffic yako. Hivyo algorithms zake za ku slow down internet connection by 90% based on that Youtube video zinashindwa.

Huu ni mfano ulio simplified, but the basic idea is that, kama ISP anategemea kutumia traffic data ku slow down connection, ukianza kutumia VPN na ku encrypt that traffic data, ISP hataona that traffic data na hataweza ku slow down connection based on that traffic data.
 
Angalia mfano huu mdogo.

Key hapa ni "ku slow down internet based on traffic data".

Tuseme kwa mfano, serikali imeamrisha ISP, imewaambia ISP kwamba, kwa mtu yeyote anayeingia katika mtandao wa Youtube na kuangalia video hii, punguzeni speed ya internet yake kwa 90%.

Ukiingia Youtube na kuangalia video hiyo, bila kutumia VPN, ISP anaona umeingia Youtube na kuangalia video hiyo, anapunguza speed yako kwa 90%.

Ukiconnect kwenye VPN kwanza, kisha ukaingia Youtube na kuangalia video hiyo, ISP haoni traffic yako. Hivyo algorithms zake za ku slow down internet connection by 90% based on that Youtube video zinashindwa.

Huu ni mfano ulio simplified, but the basic idea is that, kama ISP anategemea kutumia traffic data ku slow down connection, ukianza kutumia VPN na ku encrypt that traffic data, ISP hataona that traffic data na hataweza ku slow down connection based on that traffic data.
sawa sawa
 
Halotel nikinunua kifurushi cha chuo wiki cha sh500 mb 250 na dk na sms speed inakua ndogo sana tofauti na nikinunua vifurushi vya kawaida

Ila nikitumia VPN speed inakua kama kawaida
 
Back
Top Bottom