msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,761
- 5,877
Aisee ,nimeamka asubuhi na mapema kama kawaida yangu nianze shughuli zangu kupitia internet..
Bahati mbaya kwangu na nzuri kwa wapinzani wangu kibiashara, nakuta internet ya vodacom haifanyi kazi.!
Napiga huduma kwa wateja najibiwa 'Kuna tatizo la kimtandao, tafadhari kuwa mvumilivu, mafundi wetu wanashughulikia'...
Nimeamua kutumia Freebasics ya tigo sababu siwezi nunua kifurushi wakati Voda nina bando la mwezi..
Maswali yangu mawili tu kwa hawa wapumbavu,wajinga,wenye roho mbaya VODACOM,.
1. JE WANAJUA HASARA NINAYOPATA KWA HUU UPUUZI WAO (WAPO TAYARI KUFIDIA).???
2. JE WANAMAANISHA TUHAME SABABU HAWANA SHIDA YA MTEJA MMOJA MMOJA KWASABABU WAO WANA WATEJA WENGI.???
UPDATE:
Baada ya takribani saa 8 tangu intaneti ikatike, Vodacom ndio wamewaarifu wateja kuhusu kasoro hiyo
Bahati mbaya kwangu na nzuri kwa wapinzani wangu kibiashara, nakuta internet ya vodacom haifanyi kazi.!
Napiga huduma kwa wateja najibiwa 'Kuna tatizo la kimtandao, tafadhari kuwa mvumilivu, mafundi wetu wanashughulikia'...
Nimeamua kutumia Freebasics ya tigo sababu siwezi nunua kifurushi wakati Voda nina bando la mwezi..
Maswali yangu mawili tu kwa hawa wapumbavu,wajinga,wenye roho mbaya VODACOM,.
1. JE WANAJUA HASARA NINAYOPATA KWA HUU UPUUZI WAO (WAPO TAYARI KUFIDIA).???
2. JE WANAMAANISHA TUHAME SABABU HAWANA SHIDA YA MTEJA MMOJA MMOJA KWASABABU WAO WANA WATEJA WENGI.???
UPDATE:
Baada ya takribani saa 8 tangu intaneti ikatike, Vodacom ndio wamewaarifu wateja kuhusu kasoro hiyo