Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla sijakujibu ngoja nione kiwango cha ufahamu wako. Unapoenda sokoni kununua nanasi la shs 2000... umewahi kujiuliza nanasi hilo limebadilishwa vipi na kuwa thamani ya pesa?Ndiyo hivyo tena mwenzenu nipo hapa nakwangua vocha ya Halotel lakini ghafla najiuliza ni kwa namna vocha ya karatasi ya elfu kumi inabadirishwa vipi na kuwa na thamani ya pesa!?
Wajuzi nijuzeni.
Aspirin umezalisha swali fanani kama hilo swala langu.Ingependeza utoe jawabu kwa yote.Kabla sijakujibu ngoja nione kiwango cha ufahamu wako. Unapoenda sokoni kununua nanasi la shs 2000... umewahi kujiuliza nanasi hilo limebadilishwa vipi na kuwa thamani ya pesa?
kabisa au angeuliza mtiririko upi unafanya vocha kutumika kulingana na thamani ya hela uliyonunulia?Kwanza hili si jukwaa la uzi wako. Ungepeleka kule biashara na uchumi.
Pili vocha ni malipo ya huduma unayoiomba. Maongezi au mbs. Kitendo cha kununua tu tayari imeshabadilika kuwa thamani ya pesa. Ulitakiwa kuuliza ni mtiririko gani/upi unafanyika/kupitia katika uuzaji wa vocha.
Waelekeze sehem sahii mkuu..ila kuna Jukwaa mkuu lina kuhusu ila sikuoni hiko mkuuSasa hii ni mada ya siasa? Hebu kuwa serious Mkuu na JF