Nikuulize swali Kwa nini unaenda hosp ikiwa Mila zilikuwapo kabla ya science, wewe Neno science kwako linamaanisha nini? Hata Mila ni sayansi pia. Kuna mila gani ktk kumchora Mtoto na wanja Kwa lengo la kumkinga na kama ni Mila mbona unasahau kuwa wanja umetoka kiwandani? Cheza na akili yako mwenyewe, hakuna kitu chochote kuvalisha Mtoto mahirizi kiuononi, mikononi alafu akigua tunakuta tena hosp ili Hali anakinga, achana na hizo habari mlishe Mtoto chakula Bora, maji salama, mahali salama pa kulala, akiugua haraka mpeleke hosp that is it. Hiyo ndo hirizi tosha.Kama hujawahi kupata tatizo ambalo hata vipimo vya kidayansi havitoi majibu ndo utadharau mila.remember mila zipo bfor science