Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
- Thread starter
- #21
Kipindi cha yule Yule waliyekuwa na imani naye wakakatwa mikia?.Umesahau tulipigwa fix kuwa wataleta mvua ya kutengeneza?? Siasa = Uwongo mwingi + Ukweli kiduuchuu.
Kipindi cha yule Yule waliyekuwa na imani naye wakakatwa mikia?.Umesahau tulipigwa fix kuwa wataleta mvua ya kutengeneza?? Siasa = Uwongo mwingi + Ukweli kiduuchuu.
TutawasilianaSipo kwasasa mkuu...niko Hom..huko ni kikazi zaidi..nyakafuru 1
Ni kweli hapo kuna camp yao wengi mno. Ila mitumba siku hizi imepungua sana hapo.Karibu Lugunga kwenye mitumba ya kutosha ingawa wauzaji inasemekana ni warundi sijui waliingiaje pale kijijini.
Yupo huyo?..Mlishaambiwa kunyweni bia mambo ya maji achaneni nayoo Halafu huyu jamaa muongo muongo akashinda ubunge na uwaziri akapata....
ndo Mana chato wanataka kau mkoa kuficha hii aibu?Few kms to Chato