Hivi viongozi waliofukuzwa chuo Bugando wanalala kweli?

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Jul 30, 2016
16,622
27,561
Wale waliofukuzwa chuo pale Bugando ambao ni Rais wa chuo na Waziri Mkuu wake; hivi wanalala kweli usiku? Maana wazazi wanavyohangaika kutafuta ada halafu unafukuzwa chuo, labda kama walikuwa ni wafanyakazi tayari au wamejipanga.

Ninavyojua matusi ya wazazi wa kibongo utasemwa mpaka basi yaani usiku unaota maluweluwe tu. Yaani ni kama mimi nikifanya kosa nikajua hapa nimekosea kweli huwa napata hofu. Ila bora hofu ya wewe na matatizo yako binafsi sio mpaka wazazi wajue.

Poleni nyie wanachuo najua mnatamani mrudishe masaa nyuma japo mlikiwa mnadai haki yenu ndio hivyo bongo hata maiti hana haki.

Soma pia:

Unyonyaji na unyanyasaji ndani ya chuo kikuu Bugando

Viongozi wa Serikali na Wanachuo wa Chuo Kikuu Bugando wafukuzwa Chuo
 
Endapo wazazi wakiwafokea itaonekana kuwa wanaunga mkono maamuzi ya Chuo.

Hao wanafunzi hawakujitakia, walikuwa wanadai/wanahoji haki zao.

Iweje mtu ulipishwe Ada kubwa kuliko ile ilekezi na TCU.
Kwanini serikali haiwasikilizi na wameonewaa kweli
 
Kuna mkasa niliukuta chuo kimoja hivi walimfanyia zengwe jamaa kama hivi halafu aliyemfukuza nafikiri alikua deputy au dean basi jamaa akaenda mahakamani.

Ikajulikana kua anayetakiwa kumfukuza mwanafunzi ni mwenyekiti wa bodi baada ya kukaa kikao cha bodi ila kwakua vikao vinakaa baada ya muda fulani na makosa hufanywa kila siku mamlaka ya kufukuza anaachiwa mkuu wa chuo.
Na kwakua delegated power cannot be delegated kwa mara nyingine means hata deputy au dean hawakuwa na mamlaka ya kumfukuza jamaa.

Akashinda kesi, akalipwa milioni 32 na nafasi ya kurudi darasani ipo palepale kwakua alifukuzwa kibatili. Akajiondokea zake na zile milioni sijui yuko wapi siku hizi.

Sasa hawa washkaji waende mahakamani na hivi jumuiya ishakua aware na hii ishu naona wakishinda.
 
Kuna mkasa niliukuta chuo kimoja hivi walimfanyia zengwe jamaa kama hivi halafu aliyemfukuza nafikiri alikua deputy au dean basi jamaa akaenda mahakamani.

Ikajulikana kua anayetakiwa kumfukuza mwanafunzi ni mwenyekiti wa bodi baada ya kukaa kikao cha bodi ila kwakua vikao vinakaa baada ya muda fulani na makosa hufanywa kila siku mamlaka ya kufukuza anaachiwa mkuu wa chuo.
Na kwakua delegated power cannot be delegated kwa mara nyingine means hata deputy au dean hawakuwa na mamlaka ya kumfukuza jamaa.

Akashinda kesi, akalipwa milioni 32 na nafasi ya kurudi darasani ipo palepale kwakua alifukuzwa kibatili. Akajiondokea zake na zile milioni sijui yuko wapi siku hizi.

Sasa hawa washkaji waende mahakamani na hivi jumuiya ishakua aware na hii ishu naona wakishinda.
Waende tu mahakamani kwa kweli ni uonevu mkubwa wa hawa waromani
 
Kuna mkasa niliukuta chuo kimoja hivi walimfanyia zengwe jamaa kama hivi halafu aliyemfukuza nafikiri alikua deputy au dean basi jamaa akaenda mahakamani.

Ikajulikana kua anayetakiwa kumfukuza mwanafunzi ni mwenyekiti wa bodi baada ya kukaa kikao cha bodi ila kwakua vikao vinakaa baada ya muda fulani na makosa hufanywa kila siku mamlaka ya kufukuza anaachiwa mkuu wa chuo.
Na kwakua delegated power cannot be delegated kwa mara nyingine means hata deputy au dean hawakuwa na mamlaka ya kumfukuza jamaa.

Akashinda kesi, akalipwa milioni 32 na nafasi ya kurudi darasani ipo palepale kwakua alifukuzwa kibatili. Akajiondokea zake na zile milioni sijui yuko wapi siku hizi.

Sasa hawa washkaji waende mahakamani na hivi jumuiya ishakua aware na hii ishu naona wakishinda.
Bora alisepa na mpunga maana angerudi tena shuleni wangemfanyizia mbaya.

Kama kautumia mpunga wake vizuri atakuwa kafaidi sana.
 
Endapo wazazi wakiwafokea itaonekana kuwa wanaunga mkono maamuzi ya Chuo.

Hao wanafunzi hawakujitakia, walikuwa wanadai/wanahoji haki zao.

Iweje mtu ulipishwe Ada kubwa kuliko ile ilekezi na TCU.
Kabisa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom