Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Huu uzi hapa chini niliupita for some reason bila kuusoma, ila sasa imebidi niutafute. Nipo Dar mitaa fulani napata late lunch cum early dinner. Kuna mteja kaja na dame na kaomba condom kwa mhudumu. Dada kamjibu hivi: "kaka huku haziletwi tena, boss anasema mjini alikokuwa anazipata hazipatikani kwa sasa". Mteja katikisa kichwa lakini bado karudi alikomwacha mwenza wake. Mnadhani hawa watu wataachana hivi hivi tu kwa kuwa condom zimekosekana?
Wandugu, jiandaeni kuona HIV infection rate mbaya kuliko ya miaka ya 90. Na ukitilia maanani tumegombana na mabeberu waliokuwa wanatupa dawa za kufubaza virusi na kuongeza life span (ARV), naogopa hata kuwaza huko mbele kukoje.
Condom zadaiwa kuadimika mkoani Njombe - JamiiForums
Wandugu, jiandaeni kuona HIV infection rate mbaya kuliko ya miaka ya 90. Na ukitilia maanani tumegombana na mabeberu waliokuwa wanatupa dawa za kufubaza virusi na kuongeza life span (ARV), naogopa hata kuwaza huko mbele kukoje.
Condom zadaiwa kuadimika mkoani Njombe - JamiiForums