Hivi viongozi wa chadema wanataka kutuaminisha msaada wa nje ni bora kuliko wa ndani katika kupigania haki zao.

Ni ngumu sana kutofautisha upunguani wako na njaa uliyonayo.....bastard

Mods ban this guy, you have no right to call any member a Bastard. Insults are not called for in this place of intellectuals.

A ban is highly recommend
 
ndani kungekua na msaada wangemtambua angalau gaidi aliemtishia risasi Nape mbele ya media na Kitenge..
tukio kama la lissu hakuna hata mtuhumiwa.
Lakini mkuu hivi unaamini kweli aliyemtishia Nape hajulikani! Mie nadhani si kweli,kuna mengi huwa hatuyajui na hatutaki kukubali kuwa hatutayajua,.
 
Wengi wanaotetea mfumo huu wa utawala wanafaidika nao...

Wengi wasiofadika nao wakilalamika wanaonekana si wazalendo.

Bunge halitimizi wajibu wake wa kusimamia Serikali ( wabunge wa upinzani wanapeleka hoja binafsi zinakataliwa)

Mahakama hazipo huru kihivyo kwa kuwa tumeona mhimili wa utendaji ukisigina Katiba lakini mihimili wa Haki unaona haya kuhukumu vinginevyo.

Njia zote za kujaribu kupata haki zimebinywa ukiwamo uhuru wa kupata na kutoa Habari.

Vyama vya upinzani marufuku kufanya siasa za wazi.

Hivi Nyie mnataka watu wafanye nini? Mnataka waitishe maandamano risasi za moto zirindime?
kamtumikie Mbowe tu, huna lolote, utakuwa mchaga wewe tena wa Hai
 
Kaangalie kinachotokea katika mataifa hayo utajua hizo haki unazozitaka kama wanazipata. Hukuona clip ya watu wakifanywa watumwa katika moja ya hayo mataifa.

Naelewa kwamba sasa hivi wana maisha ya tabu lakini pia wasingefikwa na yote hayo kama viongozi wao wangeruhusu demokrasia. Mimi binafsi napenda demokrasia kwasababu inaruhusu mtu kuongea mawazo yake na wale waliopewa dhamana ya kuongoza kutekeleza wajibu wao kwa kuzingatia sheria.
 
Wakati ukitaka tutambue kwamba hii ni nchi yetu tuliyopewa na Mungu (of course tunatambua hivyo), tunakutana na wewe utambue kwamba sote ni Watanzania...sio kukaa unaita wenzako wasaliti utafikiri huo uzalendo wewe umeusomea
 
Back
Top Bottom