Ni ngumu sana kutofautisha upunguani wako na njaa uliyonayo.....bastard
Mods ban this guy, you have no right to call any member a Bastard. Insults are not called for in this place of intellectuals.
A ban is highly recommend
Ni ngumu sana kutofautisha upunguani wako na njaa uliyonayo.....bastard
Kweli wewe zee la kichaa punguani, hata hoja huioni?Ukikua utaelewa. Naona hujielewi. Hujajibu hats hoja. Rudia kusoma ujibu swali
huna hoja kama chadema?? sasa umeshindwa kuelewa maelezo yote hayo?? swali haliendani na maelezoUna akili timamu ?
si wanadai Nchi haijapata uhuru, wacha watafute uhuru, sijui uhuru wa matusi au uhuru wa Wachaga??Wakisema nchini kwamba mambo hayaendi sawa wanaitwa wachochezi, wacha tu wasemee huko nchi za nje.
Watasaidi kumuondoa mbowe, mfalme wa jamhuri ya jumuia ya wachagaMataifa ya nje yaliwasaidia wapinzani kuwaondoa viongozi kama Muammar Gaddafi, Hosni Mubarak na Saddam Hussein.
Lakini mkuu hivi unaamini kweli aliyemtishia Nape hajulikani! Mie nadhani si kweli,kuna mengi huwa hatuyajui na hatutaki kukubali kuwa hatutayajua,.ndani kungekua na msaada wangemtambua angalau gaidi aliemtishia risasi Nape mbele ya media na Kitenge..
tukio kama la lissu hakuna hata mtuhumiwa.
kamtumikie Mbowe tu, huna lolote, utakuwa mchaga wewe tena wa HaiWengi wanaotetea mfumo huu wa utawala wanafaidika nao...
Wengi wasiofadika nao wakilalamika wanaonekana si wazalendo.
Bunge halitimizi wajibu wake wa kusimamia Serikali ( wabunge wa upinzani wanapeleka hoja binafsi zinakataliwa)
Mahakama hazipo huru kihivyo kwa kuwa tumeona mhimili wa utendaji ukisigina Katiba lakini mihimili wa Haki unaona haya kuhukumu vinginevyo.
Njia zote za kujaribu kupata haki zimebinywa ukiwamo uhuru wa kupata na kutoa Habari.
Vyama vya upinzani marufuku kufanya siasa za wazi.
Hivi Nyie mnataka watu wafanye nini? Mnataka waitishe maandamano risasi za moto zirindime?
Pale haki yako inapoishia ndipo ya mwenzio inapoanzia, otherwise Zita( x) .Ebu mwambieni huyo gaidi namba moja wa nchi hii kipara akatubu ili aweze kuheshimu haki za wengine
Kaangalie kinachotokea katika mataifa hayo utajua hizo haki unazozitaka kama wanazipata. Hukuona clip ya watu wakifanywa watumwa katika moja ya hayo mataifa.