Hivi viongozi wa chadema wanataka kutuaminisha msaada wa nje ni bora kuliko wa ndani katika kupigania haki zao.

Zee la kitaa

JF-Expert Member
Oct 25, 2017
403
211
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa.

Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania.

Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili.

Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati.

Je, kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.
 
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa. Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania. Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili. Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati. Je kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.
Punguani hujielewi
 
Mkuu kwa mtazamo wangu, sisi kama watanzania tunashida. Kila mtu kwa nafasi yake anaona yuko sahihi sana kwa kile anacho kifanya.
Kama tunataka maendeleo ni lazima tuheshimu Mawazo ya watu wengine, huenda CHADEMA wanaona hawasikilizwi na hao viongozi wa kitaifa unao wasema.
I stand to be corrected
 
ndani kungekua na msaada wangemtambua angalau gaidi aliemtishia risasi Nape mbele ya media na Kitenge..
tukio kama la lissu hakuna hata mtuhumiwa.
 
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa. Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania. Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili. Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati. Je kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.
Wanakichaa hao,Kwa Magufuli kamwe hawataweza
 
V
ndani kungekua na msaada wangemtambua angalau gaidi aliemtishia risasi Nape mbele ya media na Kitenge..
tukio kama la lissu hakuna hata mtuhumiwa.
KIONGOZI UMESAHAU MASHAHIDI NAMBA MOJA HAWATAKI KUHOJIWA. Mambo mengine muwekeze akili za kutafakari nje ya box.
 
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa. Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania. Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili. Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati. Je kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.


Chadema inaongozwa na less intelligent people na ndio maana hawaelewi madhara ya maamuzi yao, hili la Tundu Lisu linakwenda kuwaleta Watanzania kwa umoja wao karibu na Serikali yao na muda siyo mrefu chadema watakuwa peke yao!
 
Ebu mwambieni huyo gaidi namba moja wa nchi hii kipara akatubu ili aweze kuheshimu haki za wengine
 
Mkuu kwa mtazamo wangu, sisi kama watanzania tunashida. Kila mtu kwa nafasi yake anaona yuko sahihi sana kwa kile anacho kifanya.
Kama tunataka maendeleo ni lazima tuheshimu Mawazo ya watu wengine, huenda CHADEMA wanaona hawasikilizwi na hao viongozi wa kitaifa unao wasema.
I stand to be corrected
Kiongozi mi sijawahi kuona kiongozi yeyote wa Uingereza; Russia; Kenya wakitumia vyombo vya nje ya taifa lao kusema vibaya taifa lao.
 
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa. Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania. Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili. Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati. Je kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.
Na haka katabia kakupiga watu risasi na kukamata wapinzani nako ndio solution ya ( )
 
Ebu mwambieni huyo gaidi namba moja wa nchi hii kipara akatubu ili aweze kuheshimu haki za wengine
Hata were kuheshimu haki za wenzako itapendeza zaidi. Huyo unayomzungumzia amekunyima haki IPI hiyo? Halafu unamaanisha nani?
 
Wengi wanaotetea mfumo huu wa utawala wanafaidika nao...

Wengi wasiofadika nao wakilalamika wanaonekana si wazalendo.

Bunge halitimizi wajibu wake wa kusimamia Serikali ( wabunge wa upinzani wanapeleka hoja binafsi zinakataliwa)

Mahakama hazipo huru kihivyo kwa kuwa tumeona mhimili wa utendaji ukisigina Katiba lakini mihimili wa Haki unaona haya kuhukumu vinginevyo.

Njia zote za kujaribu kupata haki zimebinywa ukiwamo uhuru wa kupata na kutoa Habari.

Vyama vya upinzani marufuku kufanya siasa za wazi.

Hivi Nyie mnataka watu wafanye nini? Mnataka waitishe maandamano risasi za moto zirindime?
 
Kuna katabia kanaonekana kutaka kuota mizizi kwa viongozi wa chadema kutumia vyombo vya nje kuichongea serikali na taifa la Tanzania kwa mambo wanayoyaona hayaendi sawa. Je hiyo nguvu inayotumika kuchongea serikali nje inatarajiwa kuleta neema kwa watanzania ama manufaa gani kwa watanzania. Tumeona juhudi za viongozi wakitaifa wa chadema akiwemo Mbowe; Lisu na baadhi ya wabunge wakitumia nguvu nyingi kama kuishtaki serikali ya tanzania kwa vitu wanavyoona haviendi sawa badala ya kutumia watu wenye maamuzi ya mwisho kwa taifa hili. Kuna mitazamo tofauti inayoendelea ikiwemo kuiona chadema kukosa muelekeo na kujikita na juhudi za kutaka kuvuruga tanzania; na wengine wakiona chadema wako sahihi ili mashirika ya nje yaingilie kati. Je kwa mikakti ya kutumia vyombo vya nje chadema itatoboa kweli?
Naomba kuwasilisha. Tutambue Tanzania ndio taifa pekee tulilopewa na Mungu.

Mataifa ya nje yaliwasaidia wapinzani kuwaondoa viongozi kama Muammar Gaddafi, Hosni Mubarak na Saddam Hussein.
 
Back
Top Bottom