Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 138
- 9
Baada ya JK Kuukwa Urais alitoa kauli NZITO ambayo wengi waliogopa tunaona ilikuwa vitisho, na Semina Elekezi, kwa Mawaziri na ,Makatibu Wakuu, Ma-dc, na Wakuu wa Mikoa, ukweli ndiyo huu unaonekana yeye na wasaidizi wake.
mkuu huyu alitamka kwa kauli yake nina nukuu kusema JK ,kuna nitakao maliza nao miaka mitano na kuna ambao sinta malizanao wengine hawata fikisha hata mwaka au miwili na kuna ambao nita maliza nao , sasa jamani kwa mwendo huu siatamaliza na wote, nikuamishwa tu ndiyo kina chofanyika ,
Tufuatilie kauli zote alizo sema kama hii ni moja zingineni-
--Kuhusu muhafaka huko Zanzibar
--Kurudia mikataba
--Ruswa
--Madawa ya kulevya
--Majambazi
--Nyumba za serikali
--na nyingine ziwekeni hapa tuzijadili kwa pamoja.
WanaJF hili nyiye mnalionaje atamaliza na wote au hii kauli ilikuwa matisho tu?
asanteni
mkuu huyu alitamka kwa kauli yake nina nukuu kusema JK ,kuna nitakao maliza nao miaka mitano na kuna ambao sinta malizanao wengine hawata fikisha hata mwaka au miwili na kuna ambao nita maliza nao , sasa jamani kwa mwendo huu siatamaliza na wote, nikuamishwa tu ndiyo kina chofanyika ,
Tufuatilie kauli zote alizo sema kama hii ni moja zingineni-
--Kuhusu muhafaka huko Zanzibar
--Kurudia mikataba
--Ruswa
--Madawa ya kulevya
--Majambazi
--Nyumba za serikali
--na nyingine ziwekeni hapa tuzijadili kwa pamoja.
WanaJF hili nyiye mnalionaje atamaliza na wote au hii kauli ilikuwa matisho tu?
asanteni