Hivi vikao vya Rais na makundi mbalimbali ni waste of time and resources, hakuna jipya!

Rais Magufuli must stop goofing around - atumie vizuri muda wake kufanya kazi, not to waste the time of busy people...Mara nyingi nimekuwa nikikaa kumsikiliza tangu anapoanza kuhutubia hadi anapomaliza I am sorry kusema sikumbuki kama kuna wakati wowote amewahi kuniongezea maarifa mapya - anazungumza vitu obvious, bare facts na anakwepa pressing issues...

Hii mikutano yake na makundi mbalimbali haina tija yoyote....hivi honestly anahitaji kukutana na mtu yeyote kuelewa kuwa nchi ina matatizo lukuki? Doesn't he read? Kama hasomi hata kusikia hasikii? Au anawaita tu kutafuta some sympathy kwa makosa lukuki ya miaka mitatu ya uongozi wake ambayo sasa anaona ni vigumu kuyasahihisha?

Kama alikwishaandikiwa nyaraka RASMI za Kiuaskofu na hakuelewa issues zilizokuwa raised badala yake akaishia kutishia kufuta makanisa na kuwanyang'anya Maaskofu hati zao za kusafiria na kuhoji uraia wao, anahitaji vikao vingine na hawa viongozi asikie nini kipya? Anataka kusikia wanavomsifia UONGO?

Kama ameshaandikiwa na EU na US na wadau wengine na bado hajajua issues ambazo ziko raised anahitaji kukutana na makundi mengine ili asikie nini?

Kama mtu keshakutana na wafanyabiashara katika mabaraza yao na bado haelewi kuwa nchi inakabiliwa na matatizo lukuki katika uongozi wake na hoja zao hajazifanyia kazi anahitaji vikao vingine ili ajue nini?

Kama mtu ameshakutana na wasanii na bado haelewi kero zinazoikabili nchi anataka asikie kitu gani zaidi?

Ma-DC na ma-RC wake ni kero kubwa na wamejenga chuki kubwa kwenye jamii na ameelezwa countless times hasikii wala haelewi, anahitaji vikao hivi kila siku on live TV ili asikie kitu gani kipya?

Three years mtu bado haelewi matatizo ya nchi, like seriously?
Ni ushamba!! tu kwenda mbele, kwanza kama rais tunaamini yuko well informed kuliko mtu yeyote hapa nchini kwa resources alizonazo haiingii akilini rais kutojua changamoto walizonazo watanzania mpaka akutane na makundi mbalimbali..ni ushamba tu aisee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli must stop goofing around - atumie vizuri muda wake kufanya kazi, not to waste the time of busy people...Mara nyingi nimekuwa nikikaa kumsikiliza tangu anapoanza kuhutubia hadi anapomaliza I am sorry kusema sikumbuki kama kuna wakati wowote amewahi kuniongezea maarifa mapya - anazungumza vitu obvious, bare facts na anakwepa pressing issues...

Hii mikutano yake na makundi mbalimbali haina tija yoyote....hivi honestly anahitaji kukutana na mtu yeyote kuelewa kuwa nchi ina matatizo lukuki? Doesn't he read? Kama hasomi hata kusikia hasikii? Au anawaita tu kutafuta some sympathy kwa makosa lukuki ya miaka mitatu ya uongozi wake ambayo sasa anaona ni vigumu kuyasahihisha?

Kama alikwishaandikiwa nyaraka RASMI za Kiuaskofu na hakuelewa issues zilizokuwa raised badala yake akaishia kutishia kufuta makanisa na kuwanyang'anya Maaskofu hati zao za kusafiria na kuhoji uraia wao, anahitaji vikao vingine na hawa viongozi asikie nini kipya? Anataka kusikia wanavomsifia UONGO?

Kama ameshaandikiwa na EU na US na wadau wengine na bado hajajua issues ambazo ziko raised anahitaji kukutana na makundi mengine ili asikie nini?

Kama mtu keshakutana na wafanyabiashara katika mabaraza yao na bado haelewi kuwa nchi inakabiliwa na matatizo lukuki katika uongozi wake na hoja zao hajazifanyia kazi anahitaji vikao vingine ili ajue nini?

Kama mtu ameshakutana na wasanii na bado haelewi kero zinazoikabili nchi anataka asikie kitu gani zaidi?

Ma-DC na ma-RC wake ni kero kubwa na wamejenga chuki kubwa kwenye jamii na ameelezwa countless times hasikii wala haelewi, anahitaji vikao hivi kila siku on live TV ili asikie kitu gani kipya?

Three years mtu bado haelewi matatizo ya nchi, like seriously?
Timm Wu, umeuliza maswali mengi mno (ambayo ni relevant); lakini ukasahau kudadisi lengo la vikao anavyofanya.
Wewe umehitimisha tu kwamba 'hajaelewa' hayo uliyouliza, ndio maana anaitisha hivyo vikao apate 'feedback' juu ya mambo hayo. Aelewe.
Basi mimi nakueleza kwamba anayajua yote hayo uliyowasilisha hapa. Na sio lengo lake kutaka kupata taarifa toka kwa wahanga mbalimbali kuyahusu hayo.
Nyakati hizi za kuelekea kwenye chaguzi, kazi pekee iliyopo ni "kufuta nyayo na kujaza watu usingizi wa pono".

Na jinsi waTanzania tulivyo, juhudi hizi na nyingine nyingi zitakazofanyika katika mda huu mfupi hadi 2020 zitaleta matunda ya kumrudisha kwenye kiti bila shaka yoyote.

Lengo ni hilo kama kweli ulikuwa hujui.
 
mhn! ni kazi kupata gazeti litakaloandika habari uzipendazo wewe kila wakati.
 
Hana la maana kweli! Nilichogundua ni Kutafuta Ushawishi tu wakati hana Ushawishi wowote, Jamii hamuelewi. Na hawa Wanaojiita Viongozi wa Dini, ni Wanafiki zaidi ya Wanasiasa! Najipongeza kwa Kuacha kwenda kwenye Majumba yao kujazana Unafiki na Ujinga!
Sifa zote za Mobutu, anataka Coverage ya Vyombo vya Habari yeye Mwenyewe!
Mpaka sasa sijaona Mnyonge aliyesaidiwa kama anavyojitapa, kama yupo WanaLumumba tafadhali naomba mnijuze! Chuki, Visasi na Roho Mbaya Ndivyo Vimetamalaki katika awamu hii!
Kwanza mimi huwa nashangaa sana anapowatajataja sijui wanyonge sijui nani simwelewi,mpaka sasa mnyonge anayeongelewa amebaki kunufaika na huduma za umma lakini kwa gharama zake binafsi na za juu na zaidi ya hapo mnyonge huyu ameendelea kufukarishwa na huu utawala haijapata kuonekana/serikali imeshindwa kuja na mfumo thabiti wa kiuchumi ambao utamgusa na kumpa unafuu wa kimaisha huyu anayedaiwa mnyonge kwenye political platform ! Dawa hapa ni kuwa na tume huru ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika upuuzii mwingi unaleta uvivu ata wakuusoma....kama jpm na vikao vyake havikuongezei maarifa basi jua kunawenzako wanapata maarifa tena mengi tuuu acha ubinafsi Tanzania ni ya watanzania sio yako pekee yako.nakama haitoshi ukiona nyumbani kwenu tv imewashwa na jpm ndio yupo mubashara chukua tv au redio yako dumbukiza kwenye maji, siku yako itaisha vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli must stop goofing around - atumie vizuri muda wake kufanya kazi, not to waste the time of busy people...Mara nyingi nimekuwa nikikaa kumsikiliza tangu anapoanza kuhutubia hadi anapomaliza I am sorry kusema sikumbuki kama kuna wakati wowote amewahi kuniongezea maarifa mapya - anazungumza vitu obvious, bare facts na anakwepa pressing issues...

Hii mikutano yake na makundi mbalimbali haina tija yoyote....hivi honestly anahitaji kukutana na mtu yeyote kuelewa kuwa nchi ina matatizo lukuki? Doesn't he read? Kama hasomi hata kusikia hasikii? Au anawaita tu kutafuta some sympathy kwa makosa lukuki ya miaka mitatu ya uongozi wake ambayo sasa anaona ni vigumu kuyasahihisha?

Kama alikwishaandikiwa nyaraka RASMI za Kiuaskofu na hakuelewa issues zilizokuwa raised badala yake akaishia kutishia kufuta makanisa na kuwanyang'anya Maaskofu hati zao za kusafiria na kuhoji uraia wao, anahitaji vikao vingine na hawa viongozi asikie nini kipya? Anataka kusikia wanavomsifia UONGO?

Kama ameshaandikiwa na EU na US na wadau wengine na bado hajajua issues ambazo ziko raised anahitaji kukutana na makundi mengine ili asikie nini?

Kama mtu keshakutana na wafanyabiashara katika mabaraza yao na bado haelewi kuwa nchi inakabiliwa na matatizo lukuki katika uongozi wake na hoja zao hajazifanyia kazi anahitaji vikao vingine ili ajue nini?

Kama mtu ameshakutana na wasanii na bado haelewi kero zinazoikabili nchi anataka asikie kitu gani zaidi?

Ma-DC na ma-RC wake ni kero kubwa na wamejenga chuki kubwa kwenye jamii na ameelezwa countless times hasikii wala haelewi, anahitaji vikao hivi kila siku on live TV ili asikie kitu gani kipya?

Three years mtu bado haelewi matatizo ya nchi, like seriously?

Samahani mkuu mbona hujaeleza tatizo linalo wasumbua au kuwatesa? Sio vibaya Rais kukutana na wananchi wake anao waongoza akasikiliza kero zilizopo, ni kitu cha kawaida sana. Kiongozi asiyefanya hivyo atakuwa mbali na maswala yanayo wahusu wananchi wake.

Naona umezungumzia kuhusu walaka alio pata kutoka EU na US ambao sina uhakika kama kweli umeelewa kilicho kuwa kimeandikwa au kuazimiwa kitumiwa yeye au ilikuwa kwa madhumuni mengine?

Mimi naona wewe una mambo mengine yanayo kusumbua ambayo hapa hutaki kuyaweka bayana. Wewe kwa mtazamo wangu nahisi una matatizo ya pesa kama wengi wanao lalamika na kutoa matusi mengi humu JF. Kwa vile mirija yenu ya kunyonya fedha kama maziwa ya ng'ombe bila kufanya kazi imekatwa, hiyo imekuwa nongwa sasa kiasi kwamba kila kitu ambacho Rais magufuli anakifanya kwako unaona kama ni wastage of time.

Hali uliyo nayo kwa sasa naielewa vizuri sana, kwani toka uzaliwe, kulingana na maelezo yako, nahisi umelelewa katika manzingira ya maisha ya kuto jishughulisha kwabkazi, lakini ulikuwa unapata kila kitu unachokita bila shida na pengine kuchezea hela byibgi bila ya kujua wapi zinatoka na kwanini kila mmoja anaishi vizuri katika nchi ambayo ni masikini kama Tanzania. Nasikitika maswali haya hukujibidisha kujiuliza maana nina uhakina kama ungekuwa umefanya hivyo, ungetambua kwanini hivi sasa hali imekuwa hivi kama ilivyo.

Kijana wangu naomba kukufamisha kuwa maisha tuliyo kuwa nayo watanzania kipindi cha awamu hizo tatu zilizopita na hasa awamu ya mwisho kabla ya Magufuli kuingia madarakani, mwisho wake kulikuwa na options mbili tu, moja na ambayo ni ya matumaini kwa maisha ya watanzania wengi ni hali hii tuliyo nayo sasa au vita. Sisi watanzania tulikuwa tumefika mahali pabaya sana kama ulikuwa hujaipata hiyo.

Ndugu yangu watanzania tulikuwa hatuna serikali ya kuaminika na yenye uwezo wa kuongoza nchi kikamilifu kama tunavyo ona sasa na ndiyo maana miradi mingi ilikuwa haitekelezwi kwa sababu ambazo sina haja ya kuzieleza sasa maana hazita kila mood wa kuzisoma. Na vyama vya siasa hivyo naomba ndiyo uvisahau kabisa, kwani ndiyo vyama ambavyo vilikuwa haswa corrupt.

Kama hujasikia mengi ambayo watu, viongozi na hata Rais mwenyewe amekuwa akiyasema nadhani hata mimi mkoma wa JF sitaweza kukufanya unisikilize na pia kukufanya ubadilike na utambue kuwa situation ya maisha tuliyo yazoea hivi sasa hayako tena na hayatarudi tena. Kwa nini nasema hivi ni kwa sababu nimeona hoja uliyo toa, kusema kweli, inajieleza yenyewe kuona kuwa wewe upeo wako wa maisha umefikia wapi.

Wito wangu kwako; kama huta weza jiweka sawa kipindi hiki cha Magufuli, nafikiri sahau kama fursa nyingi utazipta kwa wingi huu. Kuna fursa nyingi sana kama utaamua kufungua macho na kuanza kujishughulisha kihistamilifu.

Umeeleza mwenyewe kuwa mikutano anayo ifanya Magufuli na makundi mbali mbali ya watanzania, kama wakuu wa dini na kadhalika, ni wastege of time, mimi nafikiri wewe ndiye unaye poteza mda wako kwa kukaa mda wote kumsikiliza yeye na wanasia wengine ambao wanakujaza madudu ambayo yana ku-frastruate tu. Achana na tabia ya kutumiwa na wana siasa ambao hawakusaidii chochote zaidi ya kukatishana tamaa na kujenga chuki dhidi ya viongozi wetu. Tumia mda wako sasa kutafuta njia ambayo itakuondelea mashaka yako ya maisha na kukufanya uwe na amani na maisha yako na ya familia yako kama unayo au unategemea kuwa nayo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi naona,Tatizo kubwa la kwanza ni ajira, pili Afya, tatu mfumo wa utoaji haki(Mahakama na sheria).
 
Huo ni mtazamo wako ndo maana umeleta bandiko lako hilo but mind you hii nchi ina watu takiribani Milioni 55 na hao wote si kwamba wanakuwa na mtizamo kama wa kwako,kuna watu wanafurahia yale yote anayo yafanya JPM na hotuba zote anazotoa
 
Hana la maana kweli! Nilichogundua ni Kutafuta Ushawishi tu wakati hana Ushawishi wowote, Jamii hamuelewi. Na hawa Wanaojiita Viongozi wa Dini, ni Wanafiki zaidi ya Wanasiasa! Najipongeza kwa Kuacha kwenda kwenye Majumba yao kujazana Unafiki na Ujinga!
Sifa zote za Mobutu, anataka Coverage ya Vyombo vya Habari yeye Mwenyewe!
Mpaka sasa sijaona Mnyonge aliyesaidiwa kama anavyojitapa, kama yupo WanaLumumba tafadhali naomba mnijuze! Chuki, Visasi na Roho Mbaya Ndivyo Vimetamalaki katika awamu hii!

Na wewe ni mhanga wa sera zake nini maana si kwa kutoa povu namna hiyo
 
Rais Magufuli must stop goofing around - atumie vizuri muda wake kufanya kazi, not to waste the time of busy people...Mara nyingi nimekuwa nikikaa kumsikiliza tangu anapoanza kuhutubia hadi anapomaliza I am sorry kusema sikumbuki kama kuna wakati wowote amewahi kuniongezea maarifa mapya - anazungumza vitu obvious, bare facts na anakwepa pressing issues...

Hii mikutano yake na makundi mbalimbali haina tija yoyote....hivi honestly anahitaji kukutana na mtu yeyote kuelewa kuwa nchi ina matatizo lukuki? Doesn't he read? Kama hasomi hata kusikia hasikii? Au anawaita tu kutafuta some sympathy kwa makosa lukuki ya miaka mitatu ya uongozi wake ambayo sasa anaona ni vigumu kuyasahihisha?

Kama alikwishaandikiwa nyaraka RASMI za Kiuaskofu na hakuelewa issues zilizokuwa raised badala yake akaishia kutishia kufuta makanisa na kuwanyang'anya Maaskofu hati zao za kusafiria na kuhoji uraia wao, anahitaji vikao vingine na hawa viongozi asikie nini kipya? Anataka kusikia wanavomsifia UONGO?

Kama ameshaandikiwa na EU na US na wadau wengine na bado hajajua issues ambazo ziko raised anahitaji kukutana na makundi mengine ili asikie nini?

Kama mtu keshakutana na wafanyabiashara katika mabaraza yao na bado haelewi kuwa nchi inakabiliwa na matatizo lukuki katika uongozi wake na hoja zao hajazifanyia kazi anahitaji vikao vingine ili ajue nini?

Kama mtu ameshakutana na wasanii na bado haelewi kero zinazoikabili nchi anataka asikie kitu gani zaidi?

Ma-DC na ma-RC wake ni kero kubwa na wamejenga chuki kubwa kwenye jamii na ameelezwa countless times hasikii wala haelewi, anahitaji vikao hivi kila siku on live TV ili asikie kitu gani kipya?

Three years mtu bado haelewi matatizo ya nchi, like seriously?
When failure come it appears in a very special way and mostly when you tend to be the custodian of all knowledge. When you decide to call people have an intersubjective dialogue with them listen most than being quick at giving comments. Avoid defensive mechanism. Use the opportunity to learn much from the audience and use your own ample time to digest the question raised by your audience.
 
Kura zinatafutwa subiri uone maajabu,safari hii wataitwa mpaka maadui zake waende magogoni wapida dili na vyeti feki na familia zao,Chezea uchaguzi wewe.
 
Back
Top Bottom