Hivi vigogo wa JF Siasa wao hawahami vyama?

Mkuu uko sahihi, nimejiunga JF 2007 nikiwa ndani ya Chadema kwa miaka 10, yaani nilijiunga nayo 1997. Ups and downs za Chadema kama taasisi nazielewa na kuzikubali. Lakini pia CCM naifahamu vizuri kwani nimekuwa mtumishi Wa umma kwa miaka mingi kabla sijaachana na utumishi huo.
Naifahamu ccm ya Nyerere hadi hii ya Magu tena pengine kuliko hata hao walio ndani yake na kwa vyeo vya juu. CCM kila Siku iendayo mbele inakuwa nafuu Jana kuliko Leo.
Sasa kwa vile sitegemei kula Yangu na familia katika siasa kwa nini nijikombe Kule ambako "nafuu Jana kuliko Leo?"
Hakika kwa hawa vijana wasio jua, ni kwamba ccm ya sasa ni mbovu kabisa kuliko wakati mwingine wowote. Kama unaona wakina Kitila, Masha nk wanaenda huko na wanataka kujua ukweli kwa nini wanaenda kwa mbwembwe wawaite pembeni na kuwashikisha misahafu waape na kusema kweli. Watajibu "MASLAHI TUU"
Naamini Mungu atanijalia niishi mpaka nione ccm ikiondolewa na wale wanaotenda mambo mabaya kama yale ya Lissu, Saanane, Mawazo nk wakionyeshwa hadharani na kupata haki yao. Pia watu wote wakifaidi Neema ya nchi yao.
Siku hiyo yaja na haiko mbali
Chakaza unaamini kwa dhati kwamba lowasa ni mtu sahihi wa kusimamia mabadiliko unayoyahitaji tangu hiyo 1997 ulipojiunga na chadema?!
 
jiulize Mzee Mwanakijiji kapatwa nini?
maana alikuwa pro upinxani, je mbona kakengeuka?
okay labda chadema imekuwa ya mafisadi, je hakuna vyama vingine ?
mpinzani gani unaisapoti serekali ?
haya ji ukabila kwani hakuna udp si ya kanda ya ziwa pia ?
act si kigoma?
 
under CCM, the country is heading for doom. just like Zimbambwe.

CCM wanataka kuua upinzani si kwa nia ya kuwaletea neema Watanzania - wanataka kutengeneza himaya inayofanana na ile ya kifalme ili wale keki yetu bila bugudha.

a freaking oligarchy!!

CCM haiwezi kuondolewa madarakani kupitia ballot box, especially kwa katiba hii ya sasa. hilo halitapata kutokea asilani!
kama UKAWA, ACT, etc hawalioni hili basi utakuwa ni uzezeta uliopitiliza kiwango.

upinzani (wanasiasa na tusio wanasiasa) LAZIMA tuhakikishe katiba mpya inaandikwa kabla ya 2020. kama tunatagemea huruma ya CCM kwenye hili, sisi sote ni mazezeta (nikiwemo mimi mwenyewe!).

tuje na mkakati ambao hata wenye shingo ngumu kama Pengo wageuze vichwa. yes!

waliokumbwa na usingizi wa pono baada ya kupuliziwa chloroform kama Kitila, Kafulila, nk nao wazinduke!

Mabeyo awe Chiwenga. yes!

haya hayawezi kutokea kwa kutegemea huruma ya CCM.

Lissu was on the right track all day long. kina Mbowe, Zitto & co endelezeni pale alipoacha Lissu.

msimsikilize sana Lowasa....he's playing it safe. we have no time for this sheeti!
 
Mkuu Eddy, fuatilia mabandiko yangu yote, japo nilimsupport sana EL, sijawahi kuwa CCM, pia nilimsuport sana ZZK, sijawahi kuwa Chadema, sasa namkubali na kumsupport dikiteta Mzalendo Magufuli na sio CCM.

Paskali
mkuu, sababu kubwa ni nini... maana enzi zako ulikuwa pro-upinzani, hadi ukajizolea mashabiki wengi wenye maono ya kipinzani . Hadi leo naamini ni hivyo ndio maana huwapondi zaidi ya kuwakosoa ili wawe bora, ila upande wa pili huwa unaongea au kuandika kinyuma mbele.
Ila watu wa aina yako mnatakiwa kubaki neutral mkisimamia ukweli ili watu wa vyama waanze kupambana na ukweli huo.
 
Sikuwahi kufikiria kama upinzani ina wanasiasa wapuuzi kiasi hiki,Kafulila,Kitila,Machali aisee ukisikiliza maono yao bungeni unasema hawa ni hazina,kumbe wasenge tu unanunuliwa. Pesa tutafute lakini heshima nayo muhimu.
 
Kuna kipepeo mmoja anaitwa laki si pesa huyu hana tofauti na malaya wa uwanja wa fisi,
Kuna member mmoja alikuwa anaitwa Mwita25 huyu sijui yuko wapi??
 
Sikuwahi kufikiria kama upinzani ina wanasiasa wapuuzi kiasi hiki,Kafulila,Kitila,Machali aisee ukisikiliza maono yao bungeni unasema hawa ni hazina,kumbe wasenge tu unanunuliwa. Pesa tutafute lakini heshima nayo muhimu.
mkuu hakuna haja ya kukasirika.
Hutakiwi kumuamini mtu, Ungekuwa mkristo ningekuambia Muamini Yesu tu.
Hutakiwi kuamini CHAMA, amini ITIKADI. ndio maana mfano CCM hata kama inasemwa vibaya kiasi gani, sijawahi kusikia mtu anapinga viapo vile vya wanaCCM. Maana vyenyewe viko safi ila watekelezaji wanaweza kutofuata usafi wake, vivyo hivyo na chadema wenda itikadi na taratibu ziko safi, ila wahusika wanaweza kukengeuka au kuamua kwa hiyari kufuata utaratibu mpya wa itikadi nyingine kwa nia njema ingawa sijui nia za wanaokuja cdm au wanaoondoka huko.

Amini misingi ya unachoamini sio watu mkuu.
 
Najiuliza hata ID fake, utambulisho wenye ujasiri kabisa kwa sababu hakuna anaemfahamu isipokuwa sura za maandishi yao.

Huku ni kugumu au, wafuasi wanamisimamo kuliko viongozi wao?
Au kuhama kwa huku ni kubadili ID, kuogopa kuvunja heshima iliyojengeke?


Hapa namaanisha ID Fake zote Active CCM, na ACTIVE Upinzani tangu matokeo ya 2015, maana hapo tulishuhudia hamahama za Ufuasi hadi huku kwenye maID Fake.






Note: ******Binafsi Sina chama, ila niko Upande wa Serikali ya sasa*****

na Natamani wanasiasa wahame kwa kadili wanavyotaka ila WANANCHI TUPATE MADHARA CHANYA YA HAMAHAMA ZAO.

....
serikali ya sasa inaundwa na chama gani kwani
 
Mkuu Eddy, fuatilia mabandiko yangu yote, japo nilimsupport sana EL, sijawahi kuwa CCM, pia nilimsuport sana ZZK, sijawahi kuwa Chadema, sasa namkubali na kumsupport dikiteta Mzalendo Magufuli na sio CCM.

Paskali
We pasua kichwa mkuu
 
serikali ya sasa inaundwa na chama gani kwani
kuna vizio vya kisiasa vinabidi viongezwe vichwani mwetu, ili uelewe walioiweka madarakani serikali hii ni wananchi wasio na vyama, wanachma wa ccm,cdm (waliomuona JPM ni bora kuliko LWS), vyama ambavyo havikuwa na mgombea urais kama UDP mfano, na wengine wengi.

hivyo swali lako linaonekana kuwa na mapungufu. Kuundwa na chama gani kwangu sio muhimu kuliko walioiweka hapo ilipo.
 
Back
Top Bottom