mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Najiuliza hata ID fake, utambulisho wenye ujasiri kabisa kwa sababu hakuna anaemfahamu isipokuwa sura za maandishi yao.
Huku ni kugumu au, wafuasi wanamisimamo kuliko viongozi wao?
Au kuhama kwa huku ni kubadili ID, kuogopa kuvunja heshima iliyojengeke?
Hapa namaanisha ID Fake zote Active CCM, na ACTIVE Upinzani tangu matokeo ya 2015, maana hapo tulishuhudia hamahama za Ufuasi hadi huku kwenye maID Fake.
Note: Binafsi Sina chama, ila niko Upande wa Serikali ya sasa na Natamani wanasiasa wahame kwa kadili wanavyotaka ila WANANCHI TUPATE MADHARA CHANYA YA HAMAHAMA ZAO.
....
Huku ni kugumu au, wafuasi wanamisimamo kuliko viongozi wao?
Au kuhama kwa huku ni kubadili ID, kuogopa kuvunja heshima iliyojengeke?
Hapa namaanisha ID Fake zote Active CCM, na ACTIVE Upinzani tangu matokeo ya 2015, maana hapo tulishuhudia hamahama za Ufuasi hadi huku kwenye maID Fake.
Note: Binafsi Sina chama, ila niko Upande wa Serikali ya sasa na Natamani wanasiasa wahame kwa kadili wanavyotaka ila WANANCHI TUPATE MADHARA CHANYA YA HAMAHAMA ZAO.
....