Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,209
Na bado ati kunajenda viwaa, balaa aiseeeeeeTaifa letu linapoteza nguvu kazi kwa kasi kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado ati kunajenda viwaa, balaa aiseeeeeeTaifa letu linapoteza nguvu kazi kwa kasi kubwa sana
huyu lazima awe ako iringa, singinda au lindiupo mkoa gani mkuu, unauliza maswali ya kijinga kama haya
aki umenichekesa kweli ati amekulaUmekula? Maana njaa inafanya tuwe na mawazo mengi sana.
Mkuu njaa ni hatari sana, ni vizuri tukijua kama hajala tumsaidie.aki umenichekesa kweli ati amekula
Sawa acha atupe jibu mkuuMkuu njaa ni hatari sana, ni vizuri tukijua kama hajala tumsaidie.
Bila shaka hii ilikuwa tunaimbaga moshiInazuia watu wasione dudu
Hahaha umenikumbusha enzi hizo
"Duka La mzungu li wazi lauza Mchele na nazi kitumbua sio andazi"
Lazima ujishtukie tu kama hukuvaa chupi,unaweza rushiwa kajiwe kunako.
Waziri Joy, keshatoa wale 600 na kitu waliokuwa wamenyimwa nafasi UDSM wadahiliwe fasta!!!Chuo bado hakijafunguliwa?