Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Nawaza tu. Kwamba ni nchi gani yenye ubavu wa kumkataria secretary of state wa USA kuingia nchini kwao isiweze kulimwa vikwazo kama mvua.
Majuzi Vatican imemkataria Pompeo kuingia Vatican kama nchi na akaufyata. Sasa hii siyo proof kwamba Vatican ni heaven ya hapa duniani?
Leo Trump pia amesalimu amri kwa kuwaomba kwa Wakatoliki kwamba bila wao Marekani haipo.
Naomba mnitajie nchi yenye ubavu wa kumzuia Pompeo asiingie nchini kwao na ikabaki salama.
Majuzi Vatican imemkataria Pompeo kuingia Vatican kama nchi na akaufyata. Sasa hii siyo proof kwamba Vatican ni heaven ya hapa duniani?
Leo Trump pia amesalimu amri kwa kuwaomba kwa Wakatoliki kwamba bila wao Marekani haipo.
Naomba mnitajie nchi yenye ubavu wa kumzuia Pompeo asiingie nchini kwao na ikabaki salama.