Hivi "utitiri wa kodi umeletwa na mabeberu"? Niseme ukweli tu sijawahi kumuelewa Rais Magufuli katika masuala ya kodi na biashara

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Habari wana Jf

Kwanza naomba niweke nukuu kwa magufuli aliyosema jana;

"Kodi zikiwa chache na viwango vikiwa vidogo biashara inastawi, kinyume chake biashara hudumaa, hii ndio sababu tumeanza kuchukua hatua za kupunguza viwango na utitiri wa kodi" magufuli

Niseme tu kuwa mambo haya ya kodi yamesemwa tangu mwaka 2016.

Siku zote, tulipokuwa tunasema watendaji wanaomzunguka Magufuli hawamwambii ukweli wa hali halisi ya mambo, makada wa CCM na raia wa ambao wapo huu Jf walikuwa wanatushambulia na kutuita wapinzani wa maendeleo na vibaraka wa mabeberu. Tuliitwa “wa ufipa” hata kama si wanachama wa vyama!

Ukiwa na fikra chanya na uwezo wa kutoa changamoto unaonekana mpinzani,Walisema wafanyabiashara wanaolalamika sasa hivi hali mbaya waliambiwa walizoea ufisadi kipindi cha kikwete.

Wakati Biashara zinafungwa mawaziri walikuwa wanasema kuwa wanaofunga ni wapiga dili. Jana nimeshangaa kuona eti Rais anashangaa kwanini Biashara zinafungwa. Eti na maagizo yanatoka kuwa TRA isifunge Biashara za Watu sababu za Kodi. Biashara zaidi ya 2000 zimeshafungwa!

Kwa moyo wa dhati kabisa napenda kuwapongeza wakosoaji wote na muendelee na kasi ya ukosoaji. Hili la kuyumba kwa sekta binafsi na mazingira magumu ya biashara mmelisema pamoja na kejeli kwa wale wasiopendezeshwa na ukosoaji wenu.

Kauli mbiu: UKOSOAJI NDIO SILAHA YA MAENDELEO.

mr mkiki.
 
Habari wana Jf

Kwanza naomba niweke nukuu kwa magufuli aliyosema jana;

"Kodi zikiwa chache na viwango vikiwa vidogo biashara inastawi, kinyume chake biashara hudumaa, hii ndio sababu tumeanza kuchukua hatua za kupunguza viwango na utitiri wa kodi" magufuli

Niseme tu kuwa mambo haya ya kodi yamesemwa tangu mwaka 2016.

Siku zote, tulipokuwa tunasema watendaji wanaomzunguka Magufuli hawamwambii ukweli wa hali halisi ya mambo, makada wa CCM na raia wa ambao wapo huu Jf walikuwa wanatushambulia na kutuita wapinzani wa maendeleo na vibaraka wa mabeberu. Tuliitwa “wa ufipa” hata kama si wanachama wa vyama!

Ukiwa na fikra chanya na uwezo wa kutoa changamoto unaonekana mpinzani,Walisema wafanyabiashara wanaolalamika sasa hivi hali mbaya waliambiwa walizoea ufisadi kipindi cha kikwete.

Wakati Biashara zinafungwa mawaziri walikuwa wanasema kuwa wanaofunga ni wapiga dili. Jana nimeshangaa kuona eti Rais anashangaa kwanini Biashara zinafungwa. Eti na maagizo yanatoka kuwa TRA isifunge Biashara za Watu sababu za Kodi. Biashara zaidi ya 2000 zimeshafungwa!

Kwa moyo wa dhati kabisa napenda kuwapongeza wakosoaji wote na muendelee na kasi ya ukosoaji. Hili la kuyumba kwa sekta binafsi na mazingira magumu ya biashara mmelisema pamoja na kejeli kwa wale wasiopendezeshwa na ukosoaji wenu.

Kauli mbiu: UKOSOAJI NDIO SILAHA YA MAENDELEO.

mr mkiki.
Ulichosema ni sahihi mkuu, nashangaa kuna watu huwa wanaamua kujitoa ufahamu na kutaka kutuaminisha kwamba seriikali inashughulikia kero za wafanyibiashara, magufuli sio tu kwamba wanaomzunguka wanamfikisha bali yeye mwenyewe ndio chanzo cha matatizo yote haya, na hili hupelekea walio chini yake kuamua kumuacha afanye mambo anavyoona yeye inafaa, almradi wao mwisho wa mwezi wanachukua mishahara yao, wana shida gani ?.
 
Habari wana Jf

Kwanza naomba niweke nukuu kwa magufuli aliyosema jana;

"Kodi zikiwa chache na viwango vikiwa vidogo biashara inastawi, kinyume chake biashara hudumaa, hii ndio sababu tumeanza kuchukua hatua za kupunguza viwango na utitiri wa kodi" magufuli

Niseme tu kuwa mambo haya ya kodi yamesemwa tangu mwaka 2016.

Siku zote, tulipokuwa tunasema watendaji wanaomzunguka Magufuli hawamwambii ukweli wa hali halisi ya mambo, makada wa CCM na raia wa ambao wapo huu Jf walikuwa wanatushambulia na kutuita wapinzani wa maendeleo na vibaraka wa mabeberu. Tuliitwa “wa ufipa” hata kama si wanachama wa vyama!

Ukiwa na fikra chanya na uwezo wa kutoa changamoto unaonekana mpinzani,Walisema wafanyabiashara wanaolalamika sasa hivi hali mbaya waliambiwa walizoea ufisadi kipindi cha kikwete.

Wakati Biashara zinafungwa mawaziri walikuwa wanasema kuwa wanaofunga ni wapiga dili. Jana nimeshangaa kuona eti Rais anashangaa kwanini Biashara zinafungwa. Eti na maagizo yanatoka kuwa TRA isifunge Biashara za Watu sababu za Kodi. Biashara zaidi ya 2000 zimeshafungwa!

Kwa moyo wa dhati kabisa napenda kuwapongeza wakosoaji wote na muendelee na kasi ya ukosoaji. Hili la kuyumba kwa sekta binafsi na mazingira magumu ya biashara mmelisema pamoja na kejeli kwa wale wasiopendezeshwa na ukosoaji wenu.

Kauli mbiu: UKOSOAJI NDIO SILAHA YA MAENDELEO.

mr mkiki.
Leo umeweka comment ambayo ni ya kizalendo kabisa.
 
Ulichosema ni sahihi mkuu, nashangaa kuna watu huwa wanaamua kujitoa ufahamu na kutaka kutuaminisha kwamba seriikali inashughulikia kero za wafanyibiashara, magufuli sio tu kwamba wanaomzunguka wanamfikisha bali yeye mwenyewe ndio chanzo cha matatizo yote haya, na hili hupelekea walio chini yake kuamua kumuacha afanye mambo anavyoona yeye inafaa, almradi wao mwisho wa mwezi wanachukua mishahara yao, wana shida gani ?.
1121551
 
Ulichosema ni sahihi mkuu, nashangaa kuna watu huwa wanaamua kujitoa ufahamu na kutaka kutuaminisha kwamba seriikali inashughulikia kero za wafanyibiashara, magufuli sio tu kwamba wanaomzunguka wanamfikisha bali yeye mwenyewe ndio chanzo cha matatizo yote haya, na hili hupelekea walio chini yake kuamua kumuacha afanye mambo anavyoona yeye inafaa, almradi wao mwisho wa mwezi wanachukua mishahara yao, wana shida gani ?.
Hakika tunatakiwa tuwe wazalendo kwenye nchi yetu
 
Hivi utitiri wa kodi umeanza kipindi cha Magufuli eeh?? ☹️☹️
 
Tuache upambe wa kinafiki kuwa eti mr President hajui yanayotendeka huku chini.The thing yeye ndio mpigilia msumari
 
Nakumbuka kuondoa ama kupunguza utitiri wa kodi na tozo kwa wafanyabiashara ilikuwa ni moja ya ahadi yake Mheshimiwa President, ila hadi wa leo sijaona nia ya kutekeleza badala yake naye anashangaa.
 
ningeshauri kodi zipunguzwe kwa zaidi ya asilimia 90 kwani itawafanya watu walipe bila kufuatiliwa na itapunguza gharama za tra na mipolisi kwenda kuwasaka wakwepakodi kwani ni vichaa peke yao ambao watataka kukwepa
 
Kwa hiyo raisi kasemaje kuhusu kodii maana mpaka unaogopa kufungua biashara kodi nyingiii
 
Back
Top Bottom