Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,651
Kuna kamsemo watu wanakasema kwamba Mungu atakupa wa kufanana naye
watu wengi wameoa either kwa kuamini huyo aliyenaye anafanana nae au labda kuoa/kuolewa kwa basi tu.
Je sisi ambao hatujaoa/kuolewa utajuaje kwamba huyo ndo Mungu Kakupangia?
ikumbukwe kuna wakati una fall in Love mpaka unahisi ulienae Mungu ndo kakuumbia lakini baadaye mnaeza kutengana!
Je sasa utatambuaje kama Huyo uliyenaye ni chaguo la Mungu Je?
Na Je kama sio utajuaje wako uliyepangiwa na Mungu ni flani je?
Na Je utajuaje kama mtu fulani ni soul mate wako je?
Na Je tutanye nini ili ujue Chaguo la Mungu Kwako Je?
watu wengi wameoa either kwa kuamini huyo aliyenaye anafanana nae au labda kuoa/kuolewa kwa basi tu.
Je sisi ambao hatujaoa/kuolewa utajuaje kwamba huyo ndo Mungu Kakupangia?
ikumbukwe kuna wakati una fall in Love mpaka unahisi ulienae Mungu ndo kakuumbia lakini baadaye mnaeza kutengana!
Je sasa utatambuaje kama Huyo uliyenaye ni chaguo la Mungu Je?
Na Je kama sio utajuaje wako uliyepangiwa na Mungu ni flani je?
Na Je utajuaje kama mtu fulani ni soul mate wako je?
Na Je tutanye nini ili ujue Chaguo la Mungu Kwako Je?