Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
DuuhAsante mwaya!
DuuhAsante mwaya!
Wewe mwambie tu ukweli kuwa pengine huyo ndo mtoto pekee ambaye Mungu amemjalia na akimtoa atahangaika sana kutafuta mtoto na asipateHello JF
Hii inaenda Kwa Wanaume wote.. hivi Utachukua Uamuzi gani Pale Umeishi na Mpenzi wako kwa Takribani Miaka 6+ toka Mpo Secondary. Sasa mnaelekea kwenye Uchumba na inatokea Anapata Mimba Ila Wewe Bado Muda Kidogo umalize Chuo kama miaka Miwili... Yeye keshamaliza chuo kozi za miaka 3 na Amepata kazi na anapata Mshahara
Ila Mwenzako anafikia Hatua Ya Kuwa na Mawazo ya Kutoa mimba wakati una malengo naye Na Kwao wanakujua sema bado tu utambulisho Rasmi.. Unamsihi sana ila yeye Anakujibu Lazima aitoe hawezi Kukaa Na Mimba akaaibisha Nyumbani.....
Unamsihi sana kwamba itabidi mambo tuyaongee najua wazazi watakasirika ila Mie ndo nitakuoa usitoe mimba yangu ila majibu anayokupa kwamba Malengo yake hayajatimia bado hawezi beba Mimba.. Mara Home watamchukuliaje...
Mwanaume Huchoki kumbembeleza inafikia hatua Unamwambia Basi Zaa Tu Mie nitalea Kama malengo yako hayajatimia (ni kati ya wale wanawake wa mjini Naweza Sema katika kujiweka Vizuri kiuchumi na misemo ya o ya Mwanaume asikuendeshe)... Kila siku ilikuwa ni Vilio tu Kisa Hiyo Mimba hatulii Moyoni mwake mara Hataki kumwaibisha mama Yake kupata Mimba Before Ndoa.. Nikamwambia Kwahiyo Kuua Kiumbe Cha Mungu ni sawa Kuliko Kumuaibisha mama yako.. What if ndo Mungu akakujalia Uzao Huo tu maisha Yako yote...Ila Wapi mtoto wa Watu ni Vilio utadhani kapata Msiba.. ikafikia Kipindi ananitumia msg Anatoa Mimba Bora Tu afe ila Mimba Lazima aitoe.... Nikamwambia akiFanya Hivyo ajue upendo wangu Kwake Utakuwa Zero
Akaacha Kufanya Hicho kitendo kwa Mida Ila Baadae akili zikamruka sijui akarudia Tena Mambo ya Kutoa Mimba na Hapo Inakaribia Mwezi mmoja...
Siku Moja Sintoisahau Nikaja Kuambiwa Amepata Bleed usiku Na Akuniambia usiku huo ila Asubuhi yake ndo Akasema Amepata Bleed... Nikajiuliza Maswali huyu atakuwa Ametoa mimba Tayari..
Nikamchunguza Kwenye Simu yake alikuwa anauliza Google Dawa za Kutoa Mimba Mara Dalili za Mimba... Mara Pain After Abortion n.k
Kwa Kweli Toka afanye Hiki Kitendo Upendo wangu kwake Umepungua Sana Namuona Kama Mnyama... Namuona Kama ana Fake Promise Mtu ambaye nilijitahidi sana Asipate Mimba Kipindi cha Masomo Au secondary na Aliniahidi kuwa Hata kama akipata ataitunza Ila Keshageuka amekuwa Hivyo.. inauma sana Ila basi Mungu anajua
Dagh pole Sana wanawake niwanyama(mnisamehe lkin)Hello JF
Hii inaenda Kwa Wanaume wote.. hivi Utachukua Uamuzi gani Pale Umeishi na Mpenzi wako kwa Takribani Miaka 6+ toka Mpo Secondary. Sasa mnaelekea kwenye Uchumba na inatokea Anapata Mimba Ila Wewe Bado Muda Kidogo umalize Chuo kama miaka Miwili... Yeye keshamaliza chuo kozi za miaka 3 na Amepata kazi na anapata Mshahara
Ila Mwenzako anafikia Hatua Ya Kuwa na Mawazo ya Kutoa mimba wakati una malengo naye Na Kwao wanakujua sema bado tu utambulisho Rasmi.. Unamsihi sana ila yeye Anakujibu Lazima aitoe hawezi Kukaa Na Mimba akaaibisha Nyumbani.....
Unamsihi sana kwamba itabidi mambo tuyaongee najua wazazi watakasirika ila Mie ndo nitakuoa usitoe mimba yangu ila majibu anayokupa kwamba Malengo yake hayajatimia bado hawezi beba Mimba.. Mara Home watamchukuliaje...
Mwanaume Huchoki kumbembeleza inafikia hatua Unamwambia Basi Zaa Tu Mie nitalea Kama malengo yako hayajatimia (ni kati ya wale wanawake wa mjini Naweza Sema katika kujiweka Vizuri kiuchumi na misemo ya o ya Mwanaume asikuendeshe)... Kila siku ilikuwa ni Vilio tu Kisa Hiyo Mimba hatulii Moyoni mwake mara Hataki kumwaibisha mama Yake kupata Mimba Before Ndoa.. Nikamwambia Kwahiyo Kuua Kiumbe Cha Mungu ni sawa Kuliko Kumuaibisha mama yako.. What if ndo Mungu akakujalia Uzao Huo tu maisha Yako yote...Ila Wapi mtoto wa Watu ni Vilio utadhani kapata Msiba.. ikafikia Kipindi ananitumia msg Anatoa Mimba Bora Tu afe ila Mimba Lazima aitoe.... Nikamwambia akiFanya Hivyo ajue upendo wangu Kwake Utakuwa Zero
Akaacha Kufanya Hicho kitendo kwa Mida Ila Baadae akili zikamruka sijui akarudia Tena Mambo ya Kutoa Mimba na Hapo Inakaribia Mwezi mmoja...
Siku Moja Sintoisahau Nikaja Kuambiwa Amepata Bleed usiku Na Akuniambia usiku huo ila Asubuhi yake ndo Akasema Amepata Bleed... Nikajiuliza Maswali huyu atakuwa Ametoa mimba Tayari..
Nikamchunguza Kwenye Simu yake alikuwa anauliza Google Dawa za Kutoa Mimba Mara Dalili za Mimba... Mara Pain After Abortion n.k
Kwa Kweli Toka afanye Hiki Kitendo Upendo wangu kwake Umepungua Sana Namuona Kama Mnyama... Namuona Kama ana Fake Promise Mtu ambaye nilijitahidi sana Asipate Mimba Kipindi cha Masomo Au secondary na Aliniahidi kuwa Hata kama akipata ataitunza Ila Keshageuka amekuwa Hivyo.. inauma sana Ila basi Mungu anajua
kHello JF
Hii inaenda Kwa Wanaume wote.. hivi Utachukua Uamuzi gani Pale Umeishi na Mpenzi wako kwa Takribani Miaka 6+ toka Mpo Secondary. Sasa mnaelekea kwenye Uchumba na inatokea Anapata Mimba Ila Wewe Bado Muda Kidogo umalize Chuo kama miaka Miwili... Yeye keshamaliza chuo kozi za miaka 3 na Amepata kazi na anapata Mshahara
Ila Mwenzako anafikia Hatua Ya Kuwa na Mawazo ya Kutoa mimba wakati una malengo naye Na Kwao wanakujua sema bado tu utambulisho Rasmi.. Unamsihi sana ila yeye Anakujibu Lazima aitoe hawezi Kukaa Na Mimba akaaibisha Nyumbani.....
Unamsihi sana kwamba itabidi mambo tuyaongee najua wazazi watakasirika ila Mie ndo nitakuoa usitoe mimba yangu ila majibu anayokupa kwamba Malengo yake hayajatimia bado hawezi beba Mimba.. Mara Home watamchukuliaje...
Mwanaume Huchoki kumbembeleza inafikia hatua Unamwambia Basi Zaa Tu Mie nitalea Kama malengo yako hayajatimia (ni kati ya wale wanawake wa mjini Naweza Sema katika kujiweka Vizuri kiuchumi na misemo ya o ya Mwanaume asikuendeshe)... Kila siku ilikuwa ni Vilio tu Kisa Hiyo Mimba hatulii Moyoni mwake mara Hataki kumwaibisha mama Yake kupata Mimba Before Ndoa.. Nikamwambia Kwahiyo Kuua Kiumbe Cha Mungu ni sawa Kuliko Kumuaibisha mama yako.. What if ndo Mungu akakujalia Uzao Huo tu maisha Yako yote...Ila Wapi mtoto wa Watu ni Vilio utadhani kapata Msiba.. ikafikia Kipindi ananitumia msg Anatoa Mimba Bora Tu afe ila Mimba Lazima aitoe.... Nikamwambia akiFanya Hivyo ajue upendo wangu Kwake Utakuwa Zero
Akaacha Kufanya Hicho kitendo kwa Mida Ila Baadae akili zikamruka sijui akarudia Tena Mambo ya Kutoa Mimba na Hapo Inakaribia Mwezi mmoja...
Siku Moja Sintoisahau Nikaja Kuambiwa Amepata Bleed usiku Na Akuniambia usiku huo ila Asubuhi yake ndo Akasema Amepata Bleed... Nikajiuliza Maswali huyu atakuwa Ametoa mimba Tayari..
Nikamchunguza Kwenye Simu yake alikuwa anauliza Google Dawa za Kutoa Mimba Mara Dalili za Mimba... Mara Pain After Abortion n.k
Kwa Kweli Toka afanye Hiki Kitendo Upendo wangu kwake Umepungua Sana Namuona Kama Mnyama... Namuona Kama ana Fake Promise Mtu ambaye nilijitahidi sana Asipate Mimba Kipindi cha Masomo Au secondary na Aliniahidi kuwa Hata kama akipata ataitunza Ila Keshageuka amekuwa Hivyo.. inauma sana Ila basi Mungu anajua