Hivi utaanzia wapi kulikataa hili li-V8?

MasterP.

JF-Expert Member
Jun 5, 2013
7,985
6,247
Wajameni nimeona nimtetee kidogo bi mkubwa kwani wengi wanahoji kwamba kama yeye ni mpinzani wa kweli na hata alijitosa kugombea urais ingawa kura hazikutosha kwanini amekubali hicho cheo wakati hata mteuzi wake alishajiapiza hadi na kuongea kilugha kabisa kwamba ndani ya "gavamenti" yake hatakanyaga mpinzani....! Au pengine labda anaonekana mpinzani kwa nje tu lakini ndani mwake kila kitu ni kijani-manjano..? Ah sijui mie, ila najaribu kuwaza tu kwa hii akili yangu ndogo.
Sasa hebu tuongee ukweli hata ingekuwa ni wewe kwa mfano utaanzia wapi kuukataa huo mdude hapo mwanawane...? mi nimewaza tu!
1496745966994.png
 
Wajameni nimeona nimtetee kidogo bi mkubwa kwani wengi wanahoji kwamba kama yeye ni mpinzani wa kweli na hata alijitosa kugombea urais ingawa kura hazikutosha kwanini amekubali hicho cheo wakati hata mteuzi wake alishajiapiza hadi na kuongea kilugha kabisa kwamba ndani ya "gavamenti" yake hatakanyaga mpinzani....! Au pengine labda anaonekana mpinzani kwa nje tu lakini ndani mwake kila kitu ni kijani-manjano..? Ah sijui mie, ila najaribu kuwaza tu kwa hii akili yangu ndogo.
Sasa hebu tuongee ukweli hata ingekuwa ni wewe kwa mfano utaanzia wapi kuukataa huo mdude hapo mwanawane...? mi nimewaza tu!
View attachment 520197
Kwani wewe hujui kuwa huyu wakwetu.
 
Wajameni nimeona nimtetee kidogo bi mkubwa kwani wengi wanahoji kwamba kama yeye ni mpinzani wa kweli na hata alijitosa kugombea urais ingawa kura hazikutosha kwanini amekubali hicho cheo wakati hata mteuzi wake alishajiapiza hadi na kuongea kilugha kabisa kwamba ndani ya "gavamenti" yake hatakanyaga mpinzani....! Au pengine labda anaonekana mpinzani kwa nje tu lakini ndani mwake kila kitu ni kijani-manjano..? Ah sijui mie, ila najaribu kuwaza tu kwa hii akili yangu ndogo.
Sasa hebu tuongee ukweli hata ingekuwa ni wewe kwa mfano utaanzia wapi kuukataa huo mdude hapo mwanawane...? mi nimewaza tu!
View attachment 520197
Kwani linakuwa lake? Si la serikali!!?
 
Wajameni nimeona nimtetee kidogo bi mkubwa kwani wengi wanahoji kwamba kama yeye ni mpinzani wa kweli na hata alijitosa kugombea urais ingawa kura hazikutosha kwanini amekubali hicho cheo wakati hata mteuzi wake alishajiapiza hadi na kuongea kilugha kabisa kwamba ndani ya "gavamenti" yake hatakanyaga mpinzani....! Au pengine labda anaonekana mpinzani kwa nje tu lakini ndani mwake kila kitu ni kijani-manjano..? Ah sijui mie, ila najaribu kuwaza tu kwa hii akili yangu ndogo.
Sasa hebu tuongee ukweli hata ingekuwa ni wewe kwa mfano utaanzia wapi kuukataa huo mdude hapo mwanawane...? mi nimewaza tu!
View attachment 520197
Cyo v8 tu mi ata ingekua ni kirikuu siachi! Acheni mama akapunguze machungu ya kukosa uraisi
 
Wapo wengi tu wanaokataa uteuzi, sema kwa sababu za kiitifaki hawawekwi wazi.

Kwani mhusika simu kwanza na kuambiwa kama atakubali ama la!. Kisha ndipo press release hufanyika. Akikataa, safari huishia hapo.
 
Acha njaa wewe tafuta ya kwako vitu vya kupewa sio vizuri sana.. Kesho akitumbuliwa hiyo V8 anapewa?
 
Back
Top Bottom