JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 6,380
- 5,673
nashindwa kuwaelewa waandishi wetu wa habari, utasikia jk anaongoza majimbo, kwani kinachoamua ushindi ni majibo au idadi ya kura, je angekuwa ameshindwa kwa idadi ya majimbo lakini anaongoza kwa kura wangeripoti vipi? nadhani wanajaribu kucheza na akili( psychology) za watu na si vizuri wanavyofanya.