Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,598
- 8,439
- Thread starter
- #21
Hahahahaa kaka......umepata hiyo idea kwa sababu umesimuliwa tu....lkn kwnye tukio....akili inapungua hata uwezo wa kufikiri..Nimecheka sana yani mkuu umesimulia kihisia sana, pole kwa yaliyokukuta, siku ingine ungeomba hata nauli kwa mtu wa pembeni, konda tena wa dar oyomiiii