Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Thithi ndo thithi oo, wengine mafithi oo.
msipende kutania walemavu,
kuna mtu alikuwa anamcheka makengeza,
baada ya muda tu mtoto wake macho yaligeuka
ghafla na akawa kengeza hadi leo.
ccm walienda kwenye kampeni kule usangi kwa wapale. wakakuta watoto ndo wapo mkutanoni ikabidi wawaulize "mama zenu wapo wapi"? wakajibiwa; "thithithithi ndo mama dhao thithithithi ndo baba dhao thithithithi ndo watoto dhao thithiemu oye...!!" viongozi wa ccm wakabaki wanashangaa!
mamndenyi atha kutudhanganya..makengedhaa aiwedhi kuja gafla. thamahani thana kama nimekukwadha.
Nakupa LiKe 4, zidai kwa mods.
Nimecheka hadi machodhi.
Haya thatha,wapendhi wa mpira, leo ni chelthii na atheno
nani anaongodha?
msipende kutania walemavu,
kuna mtu alikuwa anamcheka makengeza,
baada ya muda tu mtoto wake macho yaligeuka
ghafla na akawa kengeza hadi leo.