GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Huwa nashangaa sana kuona binti anachukuliwa na mwanaume wanakubaliana kuishi pamoja bila hata ndoa, na cha ajabu utakuta masikini ya Mungu binti huyo anaishi na jamaa huyo akiwa hamjui ndugu yoyote wa upande wa bwana yake huyo.
Shida huanza pale linapotokea tatizo; binti hajui amtafute nani na aanzie wapi kwani hakuna ndugu yoyote anayemjua zaidi ya huyo bwana yake.
Ndoa za kuokotana tu mtaani zina changamoto kubwa sana. Utakuta binti tena ana watoto juu ila hamjui baba wa mume wake, mama wa mume wala ndugu yoyote wa bwana yake.
Ungana na mimi kupinga janga hili linalozidi kuzoeleka katika jamii.
Shida huanza pale linapotokea tatizo; binti hajui amtafute nani na aanzie wapi kwani hakuna ndugu yoyote anayemjua zaidi ya huyo bwana yake.
Ndoa za kuokotana tu mtaani zina changamoto kubwa sana. Utakuta binti tena ana watoto juu ila hamjui baba wa mume wake, mama wa mume wala ndugu yoyote wa bwana yake.
Ungana na mimi kupinga janga hili linalozidi kuzoeleka katika jamii.