i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Upeo wa binadamu unamruhusu kufikiria na kupenda vitu vingi sana sishangai watu wakipendana kwa kuongea tuu kupitia mtandao bila ya kuona picha. Hebu fikiria kunawatu dunia hii wanawake wanalala na vinguruwe kitanda kimoja wee, miye hata mbwa na paka ndani ya nyumba tuu tunazipanga kwa wengine starehe...