Hivi unaweza kuoa/kuolewa na mzazi mwenzio hata kama huna upendo nae sababu ya mtoto?

Beeb

JF-Expert Member
Aug 18, 2018
29,402
58,951
Habari zenu wapendwa

Kama mjuavyo katika pilikapilika za maisha inaweza kutokea kwa bahati nzuri mwanamke na mwanaume mmekutana kimwili na kati yenu kukawa hakuna mapenzi au labda mmoja wapo kati yenu akawa na mapenzi kwa mwenzie na katika kukutana kimwili mkafanikiwa kutengeneza kiumbe.

Ikatokea wazazi wenu wakapata taarifa na walichoamua ni nyinyi kuoana ili mtoto atakapozaliwa awe familia iliyokamilika na taarifa ikawafikia walengwa na ikumbukwe hapo hamna mapenzi kati yenu.

Swali langu ni je! Utakubali kuolewa ama kuoa mtu usiyempenda kisa mtoto atakaezaliwa apate familia iliyokamilika?
 
Wakati unaweka mguu mpaka dirishani ulikua huna upendo?
Wakati jamaa anajojoa ndani ya papuch ulimuachia tu kwa kuwa huna upendo?
Basi wanawake watu wa ajabu sana nyie,sio wa kuwaamini,ndo maana hata mimi sinaga malovee na nyinyi kwa stahili hii.
 
Hamna mwanamke mpumbavu kama mwanamke ambaye ana uwezo wa kutoa utupu wake kwa mwanaume asiyempenda(achana na wanaojiuza)...sasa ulitoa kwa sababu gani...?
Je una hoja gani ya kutushawishi tusikuite kahaba aliyekubuhu...?
 
Habari zenu wapendwa

Kama mjuavyo katika pilikapilika za maisha inaweza kutokea kwa bahati nzuri mwanamke na mwanaume mmekutana kimwili na kati yenu kukawa hakuna mapenzi au labda mmoja wapo kati yenu akawa na mapenzi kwa mwenzie na katika kukutana kimwili mkafanikiwa kutengeneza kiumbe.

Ikatokea wazazi wenu wakapata taarifa na walichoamua ni nyinyi kuoana ili mtoto atakapozaliwa awe familia iliyokamilika na taarifa ikawafikia walengwa na ikumbukwe hapo hamna mapenzi kati yenu.

Swali langu ni je! Utakubali kuolewa ama kuoa mtu usiyempenda kisa mtoto atakaezaliwa apate familia iliyokamilika?
wakati unamvulia chupi ulikuwa umelewa au?
 
Habari zenu wapendwa

Kama mjuavyo katika pilikapilika za maisha inaweza kutokea kwa bahati nzuri mwanamke na mwanaume mmekutana kimwili na kati yenu kukawa hakuna mapenzi au labda mmoja wapo kati yenu akawa na mapenzi kwa mwenzie na katika kukutana kimwili mkafanikiwa kutengeneza kiumbe.

Ikatokea wazazi wenu wakapata taarifa na walichoamua ni nyinyi kuoana ili mtoto atakapozaliwa awe familia iliyokamilika na taarifa ikawafikia walengwa na ikumbukwe hapo hamna mapenzi kati yenu.

Swali langu ni je! Utakubali kuolewa ama kuoa mtu usiyempenda kisa mtoto atakaezaliwa apate familia iliyokamilika?
hiyo ni kwa mwanamke kama kaona msela anajiweza na tayari ana mtoto wake tumboni atjitosa hivo hivo,,ila kwa mwanaume haipo hiyo hata kama wafanye nini
 
Hivi unaanzaje kumpanulia papuchi mtu ambaye humpendi? Wanawake nyie ni viumbe wa ajabu Sana, kingine punguzeni tamaa ,haya ndio matokeo ya tamaa mbaya
wanatamaa mbwa hawa halafu wanasukumia wanaume na huwa hawakubali kwamba kati yao kuna wenye tabia chafu ,,,utasikia nilikuwa siridhiki , au jamaa kibamia, kumbe ujinga ni wake tuu kichwani
 
Katika kitu napinga kila siku ni kuingia mkataba wa kudumu na mwanaume nisiyempenda, hicho kifungo huru sikitaki hata bure..!!

Ingia ndoani na mtu ambaye umemridhia kimwili na kiroho, uone kabisa hakuna mbadala wake.!!

Hizi desperation za ndoa zinatufanya wanawake tuolewe na watu tusiowapenda kisa kukimbilia ndoa na tamaa ya pesa,

Baada ya muda mchache unajikuta unaishia kuikinai ndoa na ndo maana kesi za wanawake kucheat kwa ndoa zao zinaongeza kila kukicha.!!
 
Hamna mwanamke mpumbavu kama mwanamke ambaye ana uwezo wa kutoa utupu wake kwa mwanaume asiyempenda(achana na wanaojiuza)...sasa ulitoa kwa sababu gani...?
Je una hoja gani ya kutushawishi tusikuite kahaba aliyekubuhu...?
Mkuu punguza munkari
 
Nakubaliana nawewe mkuu

Ila hawa walengwa hakuna mwenye haraka ya ndoa wala mwenye tamaa ya pesa za mwenzie wazazi wao ndio wameamua ndoa ifanyike
Katika kitu napinga kila siku ni kuingia mkataba wa kudumu na mwanaume nisiyempenda, hicho kifungo huru sikitaki hata bure..!!

Ingia ndoani na mtu ambaye umemridhia kimwili na kiroho, uone kabisa hakuna mbadala wake.!!

Hizi desperation za ndoa zinatufanya wanawake tuolewe na watu tusiowapenda kisa kukimbilia ndoa na tamaa ya pesa,

Baada ya muda mchache unajikuta unaishia kuikinai ndoa na ndo maana kesi za wanawake kucheat kwa ndoa zao zinaongeza kila kukicha.!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom