Swali; je wewe unavyojiona una mambo ya kidemu?
Kama ndio, basi kausha tu
Kama sio, piga chini
Au unavaa shanga kiunoni
Hapo dawa ni kwenda tu gengeni! Kanunue malimao, ndimu na ule udongo mwekundu. Ukifika home kaa mbele yao, halafu igiza kama mwanamke mwenye mimba vile!
Wakikuuliza kulikoni? Wafanyie hivi !! Haki ya nani hawatakuja tena kukusengenya.
Makalio ya farasi nini wewe?!Jikaushe kisha jitahidi kubadilika uache hayo mambo ya kidemu
Haya ndio hayo ya kidemu sasa inabidi kuyaachaMakalio ya farasi nini wewe?!
Haya ndio hayo ya kidemu sasa inabidi kuyaacha
Mkuu sasa hebu linganisha hilo na kumkuta mkeo yuko na jamaa kinyume na maumbile. Hapo kama kweli una mambo ya kidemu jaribu kubadirika, ni kuwa umemkera, kaeni muongee na pengine umuelekeze kwanini ulikuwa na mambo ya kidemu kwake.Hello,
Kila mtu anapitia magumu au amewahi kupitia katika mahusiano yake. Je, unaweza kuvumilia ukijibanza sehemu na ukasikia demu wako anaongea na mdogo wake wa kiume, na katika maongezi ukasikia anasema "na huyu shemejio mambo yake ni kama mwanamke mwenye mimba, ana mambo ya kidemu mno".
Je, utakausha?