Hiyo ni sawa na kulinganisha malaika(MAKONGORO) na IBILISI MKUU (RIZI ONE).You cant compare JIZI ONE(RIDHIWANI) with Makongoro Nyerere
Leo ni siku ya kumbukumbu ya hayati baba yetu mpendwa wetu mzee wetu babu yetu mwl Jk Nyerere nilikuwa home asubuhi najaribu kutafakari na kupitia vitabu alivyoandika Mwl Nyerere nikiwa nasoma kuna wazo likanijia eti jamani tukisema tuwalinganishe watoto wa marais wetu wote waliopita.
Je utakuta watoto wa rais gani watakuwa bado ni watu wa kawaida na wazalendo wa kuipenda nchi na watanzania wote. Nikatamani nimlinganishe Ridhi one Kikwete na Makongoro Nyerere ni yupi ambaye anaweza kuwa na maadili ya kuipenda nchi yake kwa maana ya kujilimbikizia mali na kujivunia cheo cha wazazi wao.
kweli jamaa ni bonge la kilaza hata ukisikia commenta zake unamjua ni mtu wa namna gani,wewe subiri tu muda unakujaMakongoro shujaa na ana uthubutu alishawahi kuwa mbunge a.town- nccr. SASA HUYU RIDHIWANI MNAFIKI, MDINI, MKABILA, MBAGUZI, TOTO FISADI ANATUMIA MGONGO WA BABAYE KUJIONA KUJINUFAISHA NA SIASA ZAKE KWENYE MITANDAO YA KIJAMII WAPI NA WAPI. RIZI1 NI BONGE LA KILAZA.
mmoja ni fisadi mwingine yko tayari hata kushindia mihogo na gongo siyo kwa kupenda ni kwamba hana kitu
Amekabidhiwa fungu ili aandae RAIS wa nchi kupitia CCM.Mwl alikataa kata watoto wake wasiingie kwenye System ndo maana hadi leo hawana pa kushika, wanafedha za kuendesha maisha tu. Nadhani mwl alijua akiwaruhusu wachangamkie dili wangemharibia. Sasa Vasco amemruhusu Riz kuingia kwenye system na amekwapua mihela kweli kweli, kila kona dogo amedominate ila siku zaja atafanywa kama watoto wa Gaddafi.
Ayaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kumbe vijamaa vijizi.watu wanamshangaa bure rizone kuwa mwizi..kwa wanaomjua mtoto mwengine wa Jk anaeitwa Miraji huyu havuti tu huo unga lkn hana tofauti na mteja wa unga.dogo anaiba briefcase ya mshua wake imejaa dollars halafu anapitia masela wake haooo wanajikataa zao Dubai kula bata na shoping ya blackberry kila mmoja haupiti hata mwezi unamkuta mitaani nguo zimejikunja anashinda tu maskani anaogopa kwenda kwao...Nnachoshangaa mm inakuaje Jk anakuwa na briefcase iliojaa dollars home!!??manaake alishawahi kuiba pesa cash yenye thamani ya sh 250 million na hii sio mara ya kwanza wala ya pili..KWAHIO HAWA WIZI NI ASILI YAO JK MWIZI,RIZONE MWIZI NA MIRAJI PIA MWIZI
Umetoa tofauti za kimasaburi na sio za kushirisha ubongo
Kwanini Makongoro na Ridhiwani? Kwanini isiwe Anna Nyerere na Salama Kikwete?(hv ni Anna ama Rosemary?)