Habari wana JF,
Kuna swali huwa najiuliza nakosa majibu. Kama nilivyouliza kwenye kichwa cha habari hapo juu!
Hivi ninawezaje kujua gesi imekaribia kuisha??Gesi kwenye mtungi ambao natumia nyumbani maana kuna wakati umerudi saa 4 usiku unataka kufanya kitu gesi kwesheniii.
Wakuu kuna mbinu,mbuni,mbwinu yoyote ya kujua au ni makadirio tu kama mapato na matumizi?
Naomba kuwasilisha
Kuna swali huwa najiuliza nakosa majibu. Kama nilivyouliza kwenye kichwa cha habari hapo juu!
Hivi ninawezaje kujua gesi imekaribia kuisha??Gesi kwenye mtungi ambao natumia nyumbani maana kuna wakati umerudi saa 4 usiku unataka kufanya kitu gesi kwesheniii.
Wakuu kuna mbinu,mbuni,mbwinu yoyote ya kujua au ni makadirio tu kama mapato na matumizi?
Naomba kuwasilisha