Yaani Kama nilikua sijampeleka jando(kutailiwa)nitamwambia mwanangu jiandae twende hospital,doctor namwambia huyu ktk mila zetu haturuhusu kutailiwa na ganzi,mtaili bila ganzi ili asikilizie maumivu na ndyo itakua kumbukumbu yake hyo
Yaani Kama nilikua sijampeleka jando(kutailiwa)nitamwambia mwanangu jiandae twende hospital,doctor namwambia huyu ktk mila zetu haturuhusu kutailiwa na ganzi,mtaili bila ganzi ili asikilizie maumivu na ndyo itakua kumbukumbu yake hyo
Nyooo mnajisemesha tu hapo mbona vinavunja flatscreen mnakausha tu. Labda mleta mada angeanZa kwa kusema mtoto wa umri gani. Kwangu mie
Miaka1-2 ntaenda kulilia chumban maana inauma kweli na kuchapwa haiwezekan maana ukichukua kiboko yeye anachukua Chelsea.
2-6 mboko za kufa MTU.
6 na kuendelea hapa nageuka wale jamaa zetu wa pale mgulan. Kachote maji kwa kizibo ujaze pipa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.