Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,201
- 1,077,331
Huwa inatokea mkiwa na mazoea; au kama ni ex wako na mliachana bila ugomvi ila ni dhambi mbaya sana inayoleta mikosi ya kila aina na majuto ya muda mrefu hasa kwa mtu mwenye dhamira safi na anayejaribu kuishi kwa kumpendeza Mungu. Iepuke dhambi hii kwa gharama yo yote mkuu