Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Katika dunia kuna jambo ambalo huwa linafikirisha sana, kila mtu anapoamua kumtukana mtu lazima ataje sehemu za siri za mwanamke.
Hivi huyu mwanamke ameikosea nini dunia hii
hata sehemu yake ya siri ndo iwe tusi kubwa kuliko yote. Tukumbuke kwamba hiyo sehemu inayokuwa tusi ndo kila mmoja wetu ametokea hapo.
Ikumbukwe kuwa ukimtukana mama wa mwenzako ujue mama yako nae anacho kitu kama hicho. Wakati mwingine unamkuta mwanamke anamtukana tusi hilo mtoto wake sasa najiuliza hivi anamtukana au anajitukana.
Jamani tuwaheshimu wazazi wetu kwa kutowatukana wazazi wa wenzetu.
Hivi huyu mwanamke ameikosea nini dunia hii
hata sehemu yake ya siri ndo iwe tusi kubwa kuliko yote. Tukumbuke kwamba hiyo sehemu inayokuwa tusi ndo kila mmoja wetu ametokea hapo.
Ikumbukwe kuwa ukimtukana mama wa mwenzako ujue mama yako nae anacho kitu kama hicho. Wakati mwingine unamkuta mwanamke anamtukana tusi hilo mtoto wake sasa najiuliza hivi anamtukana au anajitukana.
Jamani tuwaheshimu wazazi wetu kwa kutowatukana wazazi wa wenzetu.