Mkuu hapo namba 4Waungwana tukizingatia kuwa utafiti wa hivi karibuni umeeleza kuwa watanzania hatuna amani, na binafsi nakubaliana na utafiti huo maana kila kukicha afadhari ya Jana, sasa katika kuisaka furaha nimejikuta najiuliza swali hili, je unaposoma jina/username au pengine avata ya member hapa unapata taswira gani juu ya mtu huyo huku ukihusianisha na maada au michango yake hapa JF? Binafsi watu wafuatao kwa mfano nawatafsiri kwa namna zifuatazo;
1. General Galadudu
Mpenda michepuko na hasa wake za watu, we fuatilia mada zake.
2. Lizaboni
Huyu hajitambui na mlamba viatu vya wakubwa.
3. MSHANA Jr.
Mshirikina
4. Evelyn salt
Binti mrembo ila analugha ngumu kama mchimba madini.
5. Miss natafuta
Binti mashauzi wa jf.
6. Monica
Hajielewi na limbukeni wa mapenzi, mara kesho ndoa, mara shahawa zinaunguza duuuu.
Hao ndo baadhi ambao nikiona Nina tu napata taswira hizo juu yao, ongeza na wengine.
NB. Lengo ni kuondo stress za karibu mwezi sasa mara Bashite, mara Nape Mara vitisho duu bora tujijadili tu sasa unapata kondi kwa bando zangu halafu unipangie cha kupost.
Imempenyaaa hiyoooDah mbona maneno makali!?
Nafikiri umeguswa na aliyoandika.
Usini quote pumba zako!!!!! Peleka ucharo wako hukoAcha upumbavu wewe...
Mimi mbona sipo hivi mtaani. Njoo Parokia ya Mt. Magdalena Itigi Singida uulizie habari zangu.
Bado umemsahau mzee wa Like.Waungwana tukizingatia kuwa utafiti wa hivi karibuni umeeleza kuwa watanzania hatuna amani, na binafsi nakubaliana na utafiti huo maana kila kukicha afadhari ya Jana, sasa katika kuisaka furaha nimejikuta najiuliza swali hili, je unaposoma jina/username au pengine avata ya member hapa unapata taswira gani juu ya mtu huyo huku ukihusianisha na maada au michango yake hapa JF? Binafsi watu wafuatao kwa mfano nawatafsiri kwa namna zifuatazo;
1. General Galadudu
Mpenda michepuko na hasa wake za watu, we fuatilia mada zake.
2. Lizaboni
Huyu hajitambui na mlamba viatu vya wakubwa.
3. MSHANA Jr.
Mshirikina
4. Evelyn salt
Binti mrembo ila analugha ngumu kama mchimba madini.
5. Miss natafuta
Binti mashauzi wa jf.
6. Monica
Hajielewi na limbukeni wa mapenzi, mara kesho ndoa, mara shahawa zinaunguza duuuu.
Hao ndo baadhi ambao nikiona Nina tu napata taswira hizo juu yao, ongeza na wengine.
NB. Lengo ni kuondo stress za karibu mwezi sasa mara Bashite, mara Nape Mara vitisho duu bora tujijadili tu sasa unapata kondi kwa bando zangu halafu unipangie cha kupost.
tema mate mamaMmmh
aah padri nyoka huyo anatema mateMimi ni Padri nikiwa kanisani, huku JF mimi ni nyoka!!
Nitakutemea mate ya usoni wewe....
Ptuuuuuuuuu (mate ya usoni hayo)
Hahahaimenipenya???????
Tangu lini mwanamke akampenyeza mwanaume....
Yaani shimo lipenye kwenye ukuni!!!
wewe ustadhi wewe acha kusingizia mapadre wa watu?Mimi ni Padri nikiwa kanisani, huku JF mimi ni nyoka!!
Nitakutemea mate ya usoni wewe....
Ptuuuuuuuuu (mate ya usoni hayo)
Namba mbili na kuunga mkono1. Numbisa
Atakua mtu wa pwani au maeneo ya Tanga, anaonekana muongeaji sana na mchambaji mzuri tu.
2. Mondray
Anaonekana disminder ila anaonekana kiumri bado mdogo sana.
3. Rayyoungr
Anaonekana anahusudu mapenzi ya jinsia moja.
4. Chief Engineer
Mshamba wa tendo la ndoa. Kila tukio lazima alete.
5. Jovitha
Anaonekana yuko faster kumuamini mtu. Ana mtindo akimquote mtu atamuita mama au jina lolote la kuashiria mna ukaribu.
Hajaidhinisha mkuu amehisi tu usiogopesasa nina mashauzi gani jamani?
Unapenda kulambaPipiJojo???
Daaa upo? Naongea na nyinyi, umenipata mama wa dude la kijeshi?Unaongea na sisi au unaongea na simu?
Daaa upo? Naongea na nyinyi, umenipata mama wa dude la kijeshi?