john mtulivu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 225
- 241
Pale unapoanza kudhani kuwa hujalewa..Wakuu bila kupoteza tym hivi wakati uko bar unapiga ulabu/vyombo kuna stage unafika unaona hapa naanza kulewa, kuna wengine wakianza muona bar maid mzuri balaa basi anajua tayari vyombo viko moto.
vipi kuhusu wengine tupeane experiece kidogo wakuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianza kumsupport Lissu
huwa unadhani unaficha nn?Mimi nikianza kuchana / kuondoa zile karatasi za beer
Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahahBasi tu ndo kipimo changu cha kuanza kua kwenye bahari ya pacific .
hahahahaha hapo bar maid unamuona kama mobetoNikianza tu kumshika bar maid kalio najua tayari geji imeshafika 120km/h
Sent using Jamii Forums mobile app