Hivi unajua bia moja kwa siku inaweza kubadili maisha yako?

Ikiwa sasa una miaka 25..wakati huo Mil. 8 itakuwa sawa na l?kitu... Bia nayo itakuwa inauzwa elfu 15 kwa chupa! Uliliangalia hili? Kuna watu hawajawahi kunywa Bia na ni masikini wa kutupwa...!!

Soma vizuri.

Issue ya umaskini wa kutupwa na alichoeleza jamaa ni vitu tofauti kabisaaa. Tuliosoma sayansi mashuleni kwenye uandishi na uelewa kwenye literature tunapata shida sana baadhi yetu tuliojifanya kuchagua masomo.

Mkuu soma upya utamuelewa Logic yake ni nini
 
mkuu unacho kisema ni sahihi kabisa,hasa kwa upande wa mlengwa ambaye hana Ideas ya Investment ya kitu chochote,maana kwa kiwango hicho cha pesa ukufanya saving ya mwaka 1 utapata ( 75,000X 12=9000,000) kwa nchi yetu ya Tanzani fursa ni nyingi sana ukianza na mtaji wa hiyo hela tu baada ya miaka hiyo uliyo itaja hapo juu utapata mara 5 hadi 10 zaidi ya ambacho utapewa na Mfuko husika.
kwa upande wa pili,let say watu 200 wamekubaliana na policy hiyo ya mfuko wa jamii e.g PPF watu 200@75000 kwa mwezi shirika husika watapata 15,000,000 kwa mwezi hii hela kama itafanyiwa investment nzuri, returns zake kwa mwezi ni zaidi unaweza kuwa nusu ya mtaji uliotumika.
 
Ni Idea Nzuri Mkuu. Sijui Unatumia Bia Gani Hapo Ambayo Inakupa Akili au Fikra Hizi.

Article Nzuri.
It has thoughful future.
 
Ikiwa sasa una miaka 25..wakati huo Mil. 8 itakuwa sawa na l?kitu... Bia nayo itakuwa inauzwa elfu 15 kwa chupa! Uliliangalia hili? Kuna watu hawajawahi kunywa Bia na ni masikini wa kutupwa...!!
Kwahiyo kwako unaona ni bora usiwe hata na shilingi kumi kuliko kuwa na milioni nane yenye thamani ndogo???
Kweli watanzania bado tunahutaji elimu ya fedha
 
Baada ya miaka 30 yaani 2045 baiskeli Phoenix itakuwa inauzwa 30 milion je Nani atakuongeza hiyo million 2 japo upate hata hiyo baiskeli?
 
Kwahiyo kwako unaona ni bora usiwe hata na shilingi kumi kuliko kuwa na milioni nane yenye thamani ndogo???
Kweli watanzania bado tunahutaji elimu ya fedha

We u nadhani hizo hesabu ndio za maendeleeeoo! Kusubiri milioni nane itakayokuwa elfle80 baada ya miaka 30!! ...Heheheeee.....ndio mipango yenu ya maendeleo Wabongo hiyo...!! Hao mnaowaita wahisani kwao wanakula Bia kama kawa na chenji inabaki wanawaletea kwa masharti kibao!
 
Soma vizuri.

Issue ya umaskini wa kutupwa na alichoeleza jamaa ni vitu tofauti kabisaaa. Tuliosoma sayansi mashuleni kwenye uandishi na uelewa kwenye literature tunapata shida sana baadhi yetu tuliojifanya kuchagua masomo.

Mkuu soma upya utamuelewa Logic yake ninini

Nimemsoma vizuri tu... sema wewe umeingiwa na mahaba na post yake!
 
Umeandika vizuri Mkuu!

Ila kuna kitu tuliwahi kukubaliana nikaanza, kufanya upande wangu kwa mwongozo wako then nikakutumia kwenye email lakini hukuwahi kujibu. Ilikuwa ni kuandika business plan. Kama uko vizuri niambie tumalizie kazi ile. Nawasilisha.
 
Haya ndiyo yaliyotakiwa kuongelewa kwa mustakabali wa maisha ya Watanzania na Tanzania yetu. SIo kila siku politics za mara Ufipa mara Lumumba!
 
Ukimaliza hapo uje na nguo, mawigi, vipodozi, chakula, elimu ya mtoto, toa michango yote ya harusi... Maisha yatakuwa bomba sana.

BTW: ivi wasiokunywa pombe wana hela eeh?
 
Utakuwa umewasaidia wengi ambao wanalingana na kipato ulichokitolea mfano.
 
Ikiwa sasa una miaka 25..wakati huo Mil. 8 itakuwa sawa na l?kitu... Bia nayo itakuwa inauzwa elfu 15 kwa chupa! Uliliangalia hili? Kuna watu hawajawahi kunywa Bia na ni masikini wa kutupwa...!!
Embu nyoosha maelezo nikuelewe maana naona unaongea kwa mafumbo. Kwamba una maana milioni 8 baada ya miaka 30 haitakuwa kitu? Na wakati huo bia itakuwa inauzwa elfu 15... Embu nieleweshe unataka kusema nini tafadhali
 
mkuu unacho kisema ni sahihi kabisa,hasa kwa upande wa mlengwa ambaye hana Ideas ya Investment ya kitu chochote,maana kwa kiwango hicho cha pesa ukufanya saving ya mwaka 1 utapata ( 75,000X 12=9000,000) kwa nchi yetu ya Tanzani fursa ni nyingi sana ukianza na mtaji wa hiyo hela tu baada ya miaka hiyo uliyo itaja hapo juu utapata mara 5 hadi 10 zaidi ya ambacho utapewa na Mfuko husika.
kwa upande wa pili,let say watu 200 wamekubaliana na policy hiyo ya mfuko wa jamii e.g PPF watu 200@75000 kwa mwezi shirika husika watapata 15,000,000 kwa mwezi hii hela kama itafanyiwa investment nzuri, returns zake kwa mwezi ni zaidi unaweza kuwa nusu ya mtaji uliotumika.
Ni kweli kabisa mkuu ulichosema hapo.
 
We u nadhani hizo hesabu ndio za maendeleeeoo! Kusubiri milioni nane itakayokuwa elfle80 baada ya miaka 30!! ...Heheheeee.....ndio mipango yenu ya maendeleo Wabongo hiyo...!! Hao mnaowaita wahisani kwao wanakula Bia kama kawa na chenji inabaki wanawaletea kwa masharti kibao!
Kwamba una maanisha milioni 8 itakuwa sawa na elfu 8 baada ya miaka 30? Acha kujipotosha mkuu hamna kitu kama hicho na sio sheria kwamba shilingi 100 ya leo ni sawa na shilingi 10 baada ya miaka 30 kuna mambo mengi sana ya kiuchumi yanayosababisha hali kama hiyo na sio lazima yatokee.
 
Ukimaliza hapo uje na nguo, mawigi, vipodozi, chakula, elimu ya mtoto, toa michango yote ya harusi... Maisha yatakuwa bomba sana.

BTW: ivi wasiokunywa pombe wana hela eeh?
Utakuwa umenisoma vibaya na hujanielewa, hakuna sehemu niliyozungumzia issue ya wasiokunywa pombe na kuwa na hela kama ulivo remark hapo labda kama ubishi ni jadi yako.
 
Hii thread inanikumbusha mbali sana

Hadithi za Abunuwasi

Nanunua Kuku mmoja atataga mayai 12 atatotoa vifaranga12 vitakua
watataga nitapata Kuku 144...........................
.........mwisho atanunua basi kupitia mradi huo.
 
Back
Top Bottom