Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zima TV then mtoke nje.jamani niko na jamaaa mmoja hapa ni mgeni apa home ila inaonekana kaona movies nyingi kidogo
basi mkiangalia movie jamaa kama anaijua anaanza kuhadithia nini kitatokea... kwakweli mimi hili linaniboa sana
vipi wewe hua unafanyaje kama kitu kama hiki kikitokea manake jamaa ananiboa kinyama yani na ninashindwa kumwambia coz ni mgeni
jamani niko na jamaaa mmoja hapa ni mgeni apa home ila inaonekana kaona movies nyingi kidogo
basi mkiangalia movie jamaa kama anaijua anaanza kuhadithia nini kitatokea... kwakweli mimi hili linaniboa sana
vipi wewe hua unafanyaje kama kitu kama hiki kikitokea manake jamaa ananiboa kinyama yani na ninashindwa kumwambia coz ni mgeni
advance coz yetu tulikua wachache sana hivyo tukawa mixed na other economics taker. siku moja mwl wao wa BAM (Bwe.ge Aliekimbia Maths) akawa anawafundisha dy/dx by first principle, akawauliza swal hata hajamaliza kuna jamaa mwan pure mwenzetu akamjibu fasta ticha ad last solution, ticha akasema ndo tatizo lakuangalia muvi na mtu aliyeiona!
inategemeana na mtu.. mbona lufufu mkandara huwa anawatafsiria from english/indian ama lugha nyingine ile na bado movie inapendwa na inaangaliwa na wadau wengi na kufurahiwa?
inaongeza utility pia....!
Kuna mija anatafsiri za kihindi anajiita juma khan muongo ajabu huwa anadanganya ila sie nyumbani tulikua tunaona funny uongo wake tunatizama maksud anavodanganya......
hahaha, juma khan namjua!Kuna mija anatafsiri za kihindi anajiita juma khan muongo ajabu huwa anadanganya ila sie nyumbani tulikua tunaona funny uongo wake tunatizama maksud anavodanganya......
Weye mtu umeona movie agneepath? Must watch kama hujaona
Usinikumbushe Mbeya, kwenye banda la video akija mbabe kutoka Nonde Machinjioni anawalazimisha wote mfumbe macho, halafu yeye awe anasimulia anachokiona kwenye video. Ole wako akubambe umefumbua macho