HIVI, unafikiri maisha ya Kijijini ni bora zaidi kuliko ya Mjini?

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
29608_458416650860092_701889746_n.jpg
 
Kiafya ni Bora ya Kijijini, Kiuchumi ni Bora ya Mjini, Kisiasa Rangi inajieleza-Kilimo Kwanza
 
Kiafya ni Bora ya Kijijini, Kiuchumi ni Bora ya Mjini, Kisiasa Rangi inajieleza-Kilimo Kwanza

Amavumbi,kwangu nina imani hata kijijini kama una malengo na mikakati mizuri utatoka tu tena unatoka ile toka ya heshima si kifisadi.....
 
Nakumbuka hizi nyumba za udongo, fisi walikuwa wanajipanga wanakojolea ukuta ukiloa wanaingia nao ndani.
Hawa wanyama walikuwa washenzi sana.

Hiyo kali, sasa wakiingia huko ndani si inakuwa mtafutano wa kufa mtu!??
 
Kwa mtu asiyependa jembe kama mimi, mjini kutafuta na kuchakarika maana opportunities ni nyingi tu...napenda kijijini kumpumzika.
 
wakati wa ccm ya mwalimu maisha yalikuwa bora kijijini wakati huu wa ccm ya kikwete tutabanana mijini mpaka kieleweke.
kijijini utakufa huku unajiona.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom