Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,785
Ndiyo, wewe kama Mtanzania kama ulikuwa haufahamu unaweza kuexport bidhaa yoyote ile EU isipokuwa silaha bila ya kulipa kodi yoyote ile huko bidhaa iendako, hivyo ni juu yako wewe kutafuta pa kuizuia tu!
Diaspora mko wapi? Kwa nini msitumie hii fursa?
Diaspora mko wapi? Kwa nini msitumie hii fursa?