Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 918
Habari wadau?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?
Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya mapenzi bila kitu cha kuji-boost kidogo, kila mtu na cha kwake, wengine pombe wengine nawasikia wakisema alkasusu, ugoro, viagra, vumbi la congo n.k
Tatizo lipo wapi? Ni mfumo wa maisha, lishe (artificial foods not nature), mazingira, au mwanamke mkizoweana na nguvu zinapungua?
Mimi nina ushuhuda wa mzee mmoja ana miaka kama 70, ni jamaa yangu sana na ni mtani wangu pia. Siku moja nilimuona anaingia guest na kibinti (yeye kinamwita babu) kwa sababu ofisi yangu ipo karibu na hiyo guest waliyoingia. Nilishangaa Sana kwakuwa mke wake nae tunafahamiana, na ana watoto wakubwa tu aliozaa nae wanakizidi hata hicho kibinti alichoingia nacho nyumba ya wageni.
Mimi niliendelea na shughuli zangu, ikapita kama lisaa limoja na nusu nikawaona wanatoka akauchukulia boda huo mchepuko wake ukasepa. Aliponiona tu akashtuka akanifata nilipo, tukasalimiana akaanza kuniuliza huku anajishtukia, "Kumbe Ofisi yako huwa ipo apa?". Nikamwambia ndio mtani, naona leo ulikuwa matembezi kidogo!? Akasema, Ndio, najua umeshangaa kwa kilichotokea lakini sisi wote ni wanaume, kwaio yaishie hapa hapa. Nikamwambia mimi sipo hivyo mzee kuwa na amani.
Mzee wa watu akaanza kufunguka, akasema, "Unajua kijana wewe ni mwanaume kama mimi siwezi kukuficha. Mimi na mama yako huyo tuna miaka mingi mno, Sasa hivi imefika mahali jogoo hawiki ndani, na mambo hayaendi. Nikaona ili nijiridhishe kuwa nina tatizo au la, ngoja nijaribu nje ndio ntajua". Akasema kuwa yule binti niliye muona ni binti wa chuo, alijipendekeza siku moja akasema huyuhuyu ndio ntamfanyia practical.
Akasema tena kuwa walivyoingia tu chumbani yule binti alisaula nguo zote, na hivi alikuwa na rangi ya Kinyaturu, mzee alivyoiona tu mashine ya dogodogo mtambo ukaenda hewani wenyewe, bila hata ya kushikiliwa, na wakati kwa mkewe anasema mpaka waandaane lisaa zima na nusu napo kuingiza mpaka kwakuishikilia ndio inaingia ikiwa imetepeta. Mzee alisema alijihisi amekuwa kijana ghafla na alipiga zile shoo zake za miaka ile enzi za ujana wake, japokuwa ni kwa kujitutumua mno. Hapo mzee akasema kumbe tatizo Sio yeye tatizo ni mke wake".
Naishia hapo wadau.
Nini mtazamo wako?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?
Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya mapenzi bila kitu cha kuji-boost kidogo, kila mtu na cha kwake, wengine pombe wengine nawasikia wakisema alkasusu, ugoro, viagra, vumbi la congo n.k
Tatizo lipo wapi? Ni mfumo wa maisha, lishe (artificial foods not nature), mazingira, au mwanamke mkizoweana na nguvu zinapungua?
Mimi nina ushuhuda wa mzee mmoja ana miaka kama 70, ni jamaa yangu sana na ni mtani wangu pia. Siku moja nilimuona anaingia guest na kibinti (yeye kinamwita babu) kwa sababu ofisi yangu ipo karibu na hiyo guest waliyoingia. Nilishangaa Sana kwakuwa mke wake nae tunafahamiana, na ana watoto wakubwa tu aliozaa nae wanakizidi hata hicho kibinti alichoingia nacho nyumba ya wageni.
Mimi niliendelea na shughuli zangu, ikapita kama lisaa limoja na nusu nikawaona wanatoka akauchukulia boda huo mchepuko wake ukasepa. Aliponiona tu akashtuka akanifata nilipo, tukasalimiana akaanza kuniuliza huku anajishtukia, "Kumbe Ofisi yako huwa ipo apa?". Nikamwambia ndio mtani, naona leo ulikuwa matembezi kidogo!? Akasema, Ndio, najua umeshangaa kwa kilichotokea lakini sisi wote ni wanaume, kwaio yaishie hapa hapa. Nikamwambia mimi sipo hivyo mzee kuwa na amani.
Mzee wa watu akaanza kufunguka, akasema, "Unajua kijana wewe ni mwanaume kama mimi siwezi kukuficha. Mimi na mama yako huyo tuna miaka mingi mno, Sasa hivi imefika mahali jogoo hawiki ndani, na mambo hayaendi. Nikaona ili nijiridhishe kuwa nina tatizo au la, ngoja nijaribu nje ndio ntajua". Akasema kuwa yule binti niliye muona ni binti wa chuo, alijipendekeza siku moja akasema huyuhuyu ndio ntamfanyia practical.
Akasema tena kuwa walivyoingia tu chumbani yule binti alisaula nguo zote, na hivi alikuwa na rangi ya Kinyaturu, mzee alivyoiona tu mashine ya dogodogo mtambo ukaenda hewani wenyewe, bila hata ya kushikiliwa, na wakati kwa mkewe anasema mpaka waandaane lisaa zima na nusu napo kuingiza mpaka kwakuishikilia ndio inaingia ikiwa imetepeta. Mzee alisema alijihisi amekuwa kijana ghafla na alipiga zile shoo zake za miaka ile enzi za ujana wake, japokuwa ni kwa kujitutumua mno. Hapo mzee akasema kumbe tatizo Sio yeye tatizo ni mke wake".
Naishia hapo wadau.
Nini mtazamo wako?