FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,793
- 5,372
Kwa mfano, wale walioko kwenye ndoa labda baba na mama wote wanapenda michepuko au mmoja wao ni bingwa wa michepuko mbaya zaidi wanafika mbali hata kinga kwao inakuwa habari gani hawawezi kula pipi na maganda. Pia uhusiano wenu ni long distance labda mnaonana kwa mwezi au miezi kadhaa.
Je ikatokea umepima na ukagundulika umeathirika na Mr au wife amekuja na anahitaji kuwa na wewe utakuwa na guts za kumwambia kwamba umeathirika na unaanzaje,wife or Mr naomba tutumie protection why protection:tape:
Wife or Mr nina jambo la kusema oops naomba tuongee mmh.Jamani michepuko sio dili baki njia kuu kama inavyosemeka nusu ya wanandoa ndio sasa wanaogundulika wameathirika wanawake sasa nao wanamichepuko duuh.
Janga hili
Je ikatokea umepima na ukagundulika umeathirika na Mr au wife amekuja na anahitaji kuwa na wewe utakuwa na guts za kumwambia kwamba umeathirika na unaanzaje,wife or Mr naomba tutumie protection why protection:tape:
Wife or Mr nina jambo la kusema oops naomba tuongee mmh.Jamani michepuko sio dili baki njia kuu kama inavyosemeka nusu ya wanandoa ndio sasa wanaogundulika wameathirika wanawake sasa nao wanamichepuko duuh.
Janga hili