2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Nimekaa nikawaza sana ila sijapata jibu mpka sasa. Israel inatambulika kimataifa,kwanini Palestina haitambuliki kimataifa?
Mpaka sasa bado sijaona faida ya UN mpaka sasa,hakuna mgogoro UN imeweza kuuthibiti kama mlezi wa dunia, kwanini isitambue Palestina kama nchi huru, iwe na jeshi lake, polisi wake, wanunue silaha zao kama Israel?
Kwanini Israel iko huru kufanya watakavyo kuliko Palestina tofauti na makubaliano ya 1947?
Mpaka sasa bado sijaona faida ya UN mpaka sasa,hakuna mgogoro UN imeweza kuuthibiti kama mlezi wa dunia, kwanini isitambue Palestina kama nchi huru, iwe na jeshi lake, polisi wake, wanunue silaha zao kama Israel?
Kwanini Israel iko huru kufanya watakavyo kuliko Palestina tofauti na makubaliano ya 1947?