sir kiduku
Member
- Oct 12, 2019
- 86
- 213
Nimeona nami nichangie kitu hapa
Mimi ni first born kwenye familia yetu yenye watoto wa tatu na kitu cha kipekee mimi ndio mtoto pekee wa kiume
Wadogo zangu wamekuwa na-jelaous na mimi ni kutokana na mama kunipenda zaid ya wao hii inatokana na kuwa tukipitia through a lot kwenye makuzi yangu
Tulinusurika kifo wakati nilipo zaliwa tulipata ajari ya gar na mama wakati tukitoka sehemu nilipo zaliwa tukielekea nyumban
Pili life halikuwa zuri wakati ninakuwa so ilinibidi ni msaidie bi mkubwa kwenye shughuli zake za mama lishe
Ila kwa hawa madogo now wanaishi kwenye comfort zone na kitabia wakotofauti sana na mimi kidogo huyo wa mwisho
Kitabia mimi ni mpole sio mgomvi na wala sijawahi kumbishia bi mkubwa, kwa now inafika kipindi nikiwa narud home kwa likizo utasikia madogo wanasema mtoto wa mwisho huyo karud
Hayo ndo machache kwa ufupi
Mimi ni first born kwenye familia yetu yenye watoto wa tatu na kitu cha kipekee mimi ndio mtoto pekee wa kiume
Wadogo zangu wamekuwa na-jelaous na mimi ni kutokana na mama kunipenda zaid ya wao hii inatokana na kuwa tukipitia through a lot kwenye makuzi yangu
Tulinusurika kifo wakati nilipo zaliwa tulipata ajari ya gar na mama wakati tukitoka sehemu nilipo zaliwa tukielekea nyumban
Pili life halikuwa zuri wakati ninakuwa so ilinibidi ni msaidie bi mkubwa kwenye shughuli zake za mama lishe
Ila kwa hawa madogo now wanaishi kwenye comfort zone na kitabia wakotofauti sana na mimi kidogo huyo wa mwisho
Kitabia mimi ni mpole sio mgomvi na wala sijawahi kumbishia bi mkubwa, kwa now inafika kipindi nikiwa narud home kwa likizo utasikia madogo wanasema mtoto wa mwisho huyo karud
Hayo ndo machache kwa ufupi