mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Sam taim wanaume wa kweli tunamsaundisha mtu kama sehemu tu ya mazoezi ya mdomo.
Afu cha ajabu sasa, watu wa aina hiyo ambaye hujampenda kwa chochote, ila unakuwa unamtongoza tu kwa lengo la kuweka sawa silaha zako, hawa huwa hawakataagi.
Ni kama mfano tu kama tuonavyo kwa wanajeshi, polisi, wachezaji wa mpira, wapiganaji n.k
Mazoezi ni muhimu kwa mwanaume. Kutongoza kuna raha yake jamani.
Afu cha ajabu sasa, watu wa aina hiyo ambaye hujampenda kwa chochote, ila unakuwa unamtongoza tu kwa lengo la kuweka sawa silaha zako, hawa huwa hawakataagi.
Ni kama mfano tu kama tuonavyo kwa wanajeshi, polisi, wachezaji wa mpira, wapiganaji n.k
Mazoezi ni muhimu kwa mwanaume. Kutongoza kuna raha yake jamani.