wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Basi kuna siku niko church katikati ya matangazo kukatangazwa tangazo la emegency kuwa mwenye gari T....DCW anaombwa akazime taa za gari lake(ikumbukwe nilienda misa ile ya kwanza kabisa ya saa kumi na mbili alfajiri) basi mi nikasimama fasta kutoka nje huku waumini wakigeuza shingo kunitizama kumbe mimi nilienda chooni nilikuwa nimebanaa na haja ndogo.
Je ni fursa gani uliwahi itumia uonekane ni wewe.!!??
Je ni fursa gani uliwahi itumia uonekane ni wewe.!!??