kwahiyo hapo kupigana siyo hiari ya mtu,ukishachaguliwa lazima ushiriki dondi....duh hapo hamna demokrasiHahahah hahha hahha,
Sio mm bana,mie sikuwahi kupigana hata siku moja,
Kuna wakati walianzisha ule mchezo wa kila tukitoka shule mnachaguliwa 2 unachorwa mstari mpigane lol,nikajipendekeza kwa mwalim mkuu ikawa kila tukitoka jioni nawahi kwenda kumbebea mkoba wake na kumpelekea kwake ambapo niliepuka kuchaguliwa kupigana!
Hahahha hahaha hahhaa,
Mama anajua km utani wake uliufanyia kazi na kuuaply kiukweli lol!
duh..
nlikuwa singer wa darasa from class 2...yani mi mwalimu ka kidhungu akiingia ananiita niimbishe wimbo kwanza then somo!
ilikuwa raha maana mara nyingi alikuwa ananikuta mbele nimepigishwa magoti na monita kwa usumbufu, akifika tu najua ndo muda wangu wa kusimama...gud old days!!
Hapo hakuna cha hiari unachochewa mpaka unapata hasira mstari unachorwa mtanange unaanza,ukishinda unatafutiwa mwingine siku ijayo,ukifanikiwa kuwadunda wote ww ndio unakua mbabe wao!kwahiyo hapo kupigana siyo hiari ya mtu,ukishachaguliwa lazima ushiriki dondi....duh hapo hamna demokrasi
Hahahah hahhaah,angejua ningelazimika kuacha, manake ilikuwa kama hobi..
Hapo hakuna cha hiari unachochewa mpaka unapata hasira mstari unachorwa mtanange unaanza,ukishinda unatafutiwa mwingine siku ijayo,ukifanikiwa kuwadunda wote ww ndio unakua mbabe wao!
Nilipokuwa darasa la 5 nilipewa cheo cha mgonga kengele a.k.a mtunza muda, cheo hicho nilipewa ili nisiwe mtoro maana nilikuwa kilaza mbaya, nilipoingia form one nikawa kocha wa timu ya form one(footbal)
dah inaonekana una experince ya uongozi mana mpaka chuo ni ishu
Bora na nyie bana,sisi tulikuwa tunazipiga hizo tukitosha shule kuelekea nyumbani,ila kwa waliokorofishana siyo kupangiwa
Mawenzi primary nilikua kingozi wa kuiba pipi toffie na blue band kwenye mabegi ya wanafunzi, na kuvuta watoto wa kihindi nywele, Secondari nilikua monitress form1, form 2 nikawa academic prifect, form 3-4 nikawa assistant wa head girl lakini kwa miaka yote mi4 nilikua kiongozi wa kuiba mahindi ya shule,