Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,783
- 93,559
CHADEMA walipojitoa akaona aibu haongelei tena huo ujinga wakeNakumbuka tulitangaziwa mkutano wa kujenga mahusiano mema kati ya polisi na vyama vya siasa ulioandaliwa na Msajili Jaji mstaafu Mutungi.
Je, mkutano huu ulishafanyika?
Maendeleo hayana vyama!