mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 842
- 1,363
Mi naomba tu kuuliza kwa anayejua au aliefika huko ulaya, hivi huko nako mapolice /trafik huwa wanasimama kando kando ya barabara na kusimamisha magari, na kama ni hivo je nao wanakuwa na vitabu vya risiti vya faini.
Mi sijui hii tabia naiona kama ni kitu cha ajabu yaani trafiki hamna mbinu nyingine zaidi ya kukaa chini ya mti pembeni ya barabara.
Na je nashindwa kuelewa hizo pesa za rushwa ambazo ni nyingi zaidi ya hizo zinazoandikwa huwa wanakula na nani, maana ni nyingi sana, je huwa wanapeleka mgao kwa wakubwa wao au?
Halaf kwanini trafiki wengi wanaroho mbaya sana, je wanakuwa trained kuwa na roho mbaya au ndo walivozaliwa
Mi sijui hii tabia naiona kama ni kitu cha ajabu yaani trafiki hamna mbinu nyingine zaidi ya kukaa chini ya mti pembeni ya barabara.
Na je nashindwa kuelewa hizo pesa za rushwa ambazo ni nyingi zaidi ya hizo zinazoandikwa huwa wanakula na nani, maana ni nyingi sana, je huwa wanapeleka mgao kwa wakubwa wao au?
Halaf kwanini trafiki wengi wanaroho mbaya sana, je wanakuwa trained kuwa na roho mbaya au ndo walivozaliwa