Mkuu "hari" ndio kitu gani hicho??Pambana na hari yako mambo mengine yatakusumbua bure akiri yako na kukupunguzia sikuzako za kuishi.
Mkuu "hari" ndio kitu gani hicho??Pambana na hari yako mambo mengine yatakusumbua bure akiri yako na kukupunguzia sikuzako za kuishi.
Sasa hapa Tanzania traffic wanafungua boneti kuangalia kile kidude chekundu. Huko Sweden wanakionaje hicho kidude?Kule Sweden hakuna trafiki barabarani hata kidogo. Lakini kila mwendesha chombo cha anafuata sharia. Ukivunja sharia za usalama barabarani unapelekewa faini yako ikiwa na picha na eneo ulilotenda kosa kwenye address yako au hata nyumbani.
Hari means JOTOMkuu "hari" ndio kitu gani hicho??
Seen!Hari means JOTO
Ulaya traffic police utawaona barabarani mara moja kwa miezi mitatu.Mi naomba tu kuuliza kwa anayejua au aliefika huko ulaya, hivi huko nako mapolice /trafik huwa wanasimama kando kando ya barabara na kusimamisha magari, na kama ni hivo je nao wanakuwa na vitabu vya risiti vya faini.
Mi sijui hii tabia naiona kama ni kitu cha ajabu yaani trafiki hamna mbinu nyingine zaidi ya kukaa chini ya mti pembeni ya barabara.
Na je nashindwa kuelewa hizo pesa za rushwa ambazo ni nyingi zaidi ya hizo zinazoandikwa huwa wanakula na nani, maana ni nyingi sana, je huwa wanapeleka mgao kwa wakubwa wao au?
Halaf kwanini trafiki wengi wanaroho mbaya sana, je wanakuwa trained kuwa na roho mbaya au ndo walivozaliwa