Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Tanesco wameudhi sana, kimvua hiki si cha kukata umeme...
Hata hivyo wanatakiwa kutoa taarifa kama wanatarajia kukata umeme kila mvua itaponyesha.
Vile vile hata kama watakata umeme kutokana na sababu za dharura warushe breaking news mitandaoni, hata humu wana thread waweke taarifa tutapeana.
Hata hivyo wanatakiwa kutoa taarifa kama wanatarajia kukata umeme kila mvua itaponyesha.
Vile vile hata kama watakata umeme kutokana na sababu za dharura warushe breaking news mitandaoni, hata humu wana thread waweke taarifa tutapeana.