Hivi ukitoa pesa katika ATM huwa unahesabu au unakunja unaweka katika wallet?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,596
Nimekuwa nikiona watu wakipewa pesa na watu wanahangaika kuhesabu ila wakitoa katika ATM wanakunja wanaweka katika wallet pasipo kuhesabu kwa nini je ATM inaaminika kuliko binadamu au yenyewe haikosei??
 
Nimekuwa nikiona watu wakipewa pesa na watu wanahangaika kuhesabu ila wakitoa katika ATM wanakunja wanaweka katika wallet pasipo kuhesabu kwa nini je ATM inaaminika kuliko binadamu au yenyewe haikosei??

ni vizur tukajenga utamadun wa kuesabu
 
sasa hata ATM ikitoa 20,000/= utahesabu..!

kama ni mzigo wa maana lazima usogee pembeni uhesabu mkuu.. ile mashine haijatengenezwa na mungu..
Sasa ukikuta zimepungua unaenda kuwapa report unaambiwa subiri mpaka mkaguzi apite hizo ni siku 2
 
ATM huwa zinakosea ila hata zikosee vip hazijawahi zidisha kutoa hela inayozid balance yako. ATM nying ni 1M max kutoa per day.so hesabu mzee na kuwa na utaratibu wa kuchukua risit pia.
 
Kuna siku ATM ya international house zamani ilikuwa pale getini unavyoingia nasikia kuna mteje alienda kutoa pesa ikampa pesa baada ya dak 5 ikaanza kutema bingo ultimate security walizoa pesa acha siku hiyo hiyo wakaing'oa na kuiweka ndani kule juu bank
 
sasa ukihesabu ukikuta pungufu utafanyaje!!?
Unaenda kwenye benk husika watakwambia hiyo ATM ipo controlled na branch gani unajaza form unaeleza kiasi kilichopungua utaambiwa rudi baada ya 2 days
 
1483385332234.jpg
 
Kuna siku machine mbovu Sasa ikawa inagoma baadae zimekuja kuotea hizo pesa watu walizotaka kutoa
 
Kuna siku ATM ya international house zamani ilikuwa pale getini unavyoingia nasikia kuna mteje alienda kutoa pesa ikampa pesa baada ya dak 5 ikaanza kutema bingo ultimate security walizoa pesa acha siku hiyo hiyo wakaing'oa na kuiweka ndani kule juu bank
Acha stori za kwenye vibanda bamiza huko kwenu KIBONDE MAJI! eti walizoa pesa acha yaani unafanisha hela na maji ya bomba la dawasco liliposuka.
 
Acha stori za kwenye vibanda bamiza huko kwenu KIBONDE MAJI! eti walizoa pesa acha yaani unafanisha hela na maji ya bomba la dawasco liliposuka.
Sasa hautaki?Unafahamu kisa cha kuhamisha ATM?sasa ilitokea hiyo....
 
kuna siku network ilikuwa inazngua, sasa kuna bidada mmoja alifanya muamala ila haukukamilika kadi ikatoka, ye akaondoka ile naingia mim nikakuta machine ya pembeni inacount pesa after a seconds mihela hiyo ikatoka, nikaangalia kushoto kulia hamna mtu sema mchawi alikuwa camera tu ikabidi nimwambie mlinzi, ile natoka tu namuona bidada anarudi anasema ametumiwa SMS kuwa katoa hela
 
sasa hata ATM ikitoa 20,000/= utahesabu..!

kama ni mzigo wa maana lazima usogee pembeni uhesabu mkuu.. ile mashine haijatengenezwa na mungu..
Sasa pata picha, umetoa laki tatu na ishirini, risiti inaonyesha ni laki tatu na iahirini, lakini kuja kuhesabu unakuta ni laki tatu kamili.

Utamdai nani.?!
 
kuna siku network ilikuwa inazngua, sasa kuna bidada mmoja alifanya muamala ila haukukamilika kadi ikatoka, ye akaondoka ile naingia mim nikakuta machine ya pembeni inacount pesa after a seconds mihela hiyo ikatoka, nikaangalia kushoto kulia hamna mtu sema mchawi alikuwa camera tu ikabidi nimwambie mlinzi, ile natoka tu namuona bidada anarudi anasema ametumiwa SMS kuwa katoa hela
Sasa mimi nilizikuta standard chartered bank shoppers nikazibeba nikamwambia mlinzi ila mlinzi aliziona akawa anaogopa camera mimi nikamstua nikaingiza kadi nakujifanya nachukua kabla sijafanya lolote mama wakizungu mabegani nikajifanya msamalia akanishukuru niliumia roho.....sasa funga mwaka mbezi garden tank bovu crdb naingi nichukue 15000 ilikuwa imebaki katika account yangu naingia nakuta na jamaa bonge kama watoto wa mama naangalia nakuta atm inauliza unaendelea na muamala nikasema ndiyo nikachukua 440000 nikatoka fasta na kadi nikaacha hapo nilikuwa nawashikaji tukapiga pasu tukajaza wese tukaebda Esaje kula mai sasa sijui jamaa alikuwa na mawazo akajua imetoka hata sijui....ila ndo mambo ya ATM
 
Back
Top Bottom